Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ulitaka nikutajie vaccine Moja tu iliyotengenzwa kutokana na mRNA, nimekutajia Sasa unataka kubadilisha goli sio?.
Hapana, nimeisoma hiyo paper, walichokiongelea ni kuwa wamefanya few clinical trials na waka suggest kuwa tech hiyo inaweza kutumika baadae lakini haijawahi kuwa approved kutumika kwa masses. Ndiyo maana chanjo za Pfizer na Moderna mwanzoni ziliruhusiwa kwa dharula, kama mRNA ingekuwa imewahi kutumika (nje ya trials) wasingehitaji exeption ya dharula kutoka FDA.
 
Nipo mzee. Tunasuka vitu vikubwa kwaajili ya nchi hii. Niliona niwe busy kwanza ili nikirudi niwanyoshe vizuri. Upo tayari kunyoshwa!?
Hahaha. Karibu sana mzee. Usipotee hivyo. Wakati mwingine unakuja kwenye uzi tunapiga battle.
 
Hii kampuni wasipewe tena tenda, wenzao wa ubungo walifanya kazi nzuri sana.
Kampuni za Kichina zilitokea Kunyaland ni za poor quality na zina attitude za kiwiziwizi! Yaani ile tabia ya Kunyaland wanaleta Bongo! Nashangaa hawahawa wamepewa tender ya uwanja wa ndege wa Msalato! Tegemea kitu kuchukua miaka 10!
 
Unge fyata tu ..,
2621843_Screenshot_20200216-004315.png


Hii vs westlands pekee, kazi kwisha..,
2954577_JamiiForums-1581881514.jpg

Westlands
2583173_2425040_IMG_20200612_014223.jpg
Hahahhah mbona ni aibu kabisaaa iyooo embu chukua kinondoni ukalale
JamiiForums299753569.jpg
JamiiForums317525115.jpg
 
Kilaza kajianika
First World countries sio utajiri wa pesa pekee wacha ujinga wewe, wacha kutafuta definition za vichochoroni.

Qatar inaongoza duniani kwa kuwa na GDP per Capita kubwa pekee, lakini Mambo mengine yote yenye kufanya nchi kuwa first World hayapo, Human Development ya Qatar ipo chini Sana, Literacy rate na demokrasia vyote vinachangia nchi kuitwa developed country, wachana na definition za vichochoroni
 
Tuna viongozi wasioona mbele, hii ligi inahitaji jina lake la kipekee, na sio kila mdhamini akija basi jina linabadilishwa, watu ambao tayari wameshaijua VPL kesho hawatolisikia hilo jina bali ni NBCPL ni upumbavu wakati kuna majina yetu mazuri ya kiswahili yanayoweza kuipatia umaarufu mkubwa ligi yetu.
Mkuu yes Kuna huo mfumo ambapo Ligi zimeachana Title Sponsor na kutengeneza nembo ya League,the challenge kwetu ni uwezo Mdogo wa Vilabu vingi hivyo bado tunahitaji title Sponsor hadi hapo Vilabu na Tff wakiwa na uwezo kujiendesha.
 
Back
Top Bottom