Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii nayo ni river estate Ngara na majengo tisa ya 34 flrs kila moja na hatuna kelele kama wabongolala
IMG_20211005_211045_260.jpg
tapatalk_1632245549298.jpg
 
Mna hayo mambo yote ile umasikini bado ni tatizo kubwa huko kwenu? Huoni hicho kinaya?
Umasikini ndio tunaoshughulika nao Sasa hivi, tunakila sababu ya kuamini kwamba tutaushinda kwasababu ya misingi imara aliyotuachia Nyerere. Kenya kamwe hamuwezi kupambana na umasikini kutokana na kwamba nchi yenu haina "strong foundations" ya kujenga uchumi, ambayo ni, Amani, utulivu, uzalendo na umoja. Kila baada ya miaka 5 Kenya inarudi nyuma miaka 4
 
Wacha kelele, soma ripoti ya tume iliyoundwa na bunge lenu ili kuchunguza dhuluma iliyofanywa na viongozi wenu baada ya Uhuru katika kujinyakulia ardhi(Ndungu's report), pia soma kitabu cha Ngugi wa Thiong'o cha "This time tomorrow", hujui kitu kuhusu historia ya Kenya.
hata historia ya nchi yake haijui,,huyo si kichaa
 
Nimeanza kukudharau tayari, owky nyie mpo kwenye top 20 best universities in Africa sawa , vipi wakufunzi wenu wanaweza kutengeneza hata barabara.? Ikiwa kila siku gorofa zinaanguka huko kwenu, wakufunzi wenu sindio hawa wanamuuzia mchina nchi yenu mkiwa macho.? hiyo ni elimu bora.? Au unavyojua wewe elimu bora ni kujimwambafai kwenye top list kwa maneno tu na maandishi.? fala kweli we jamaa.. elimu bora ni matokeo ya ufanisi wake sio kelele, kampuni za kizalendo tz zinatengeneza karibu kila kitu njoo kwa ground uku ujifunze, tunazalisha viongizi bora wa mfano Africa, na hiyo ndio maana ya elimu bora.. Una elimu bora huwezi kujenga hata barabara ya km 10.? Elimu bora unaangusha magorofa kila asubuhi, una elimu bora unazalisha viongizi walevi kama Uhuru.? Nyie hamtuwezi kitu ni wapumbavu tu
umesahau,hao kwa elimu bora ni speak english
 
Without widely private investments and coporations ata mjenge kiwanda ya ndege bado mtanikia tu mpunga😄😄😄
Wamejenga 'state-of-the-art', 😁😁😁markets, cha kushangaza wafanyabiashara hawafanyi kazi zao mle! 🤣 🤣 🤣 Hivi unajenga kijijini bonge la market bila kufanya research, unatarajia nn??? 😂 😂 😂
 
Kwa sasa Nairobi haigusiki ikija upande real estate...so inamaana majengo yana paa kwa kasi ya juu sana kuliko jiji lolote Afrika kwa sasa.

Tukifanya review upande wa majengo ya over 20 flrs tulipoachia naona Nairobi zinaelekea kuzidi dar na majengo zaidi ya mara tatu yaliopo dar kwa sasa.

1.Britam 31flrs
2.GTC office tower 43 flrs
3.UAP 33flrs
4.88 Nairobi 45flrs
5.GTC hotel tower 38 flrs
6.Times tower 33flrs
7.CBK tower 30flrs
8.prism tower 34flrs
9.GTC residential tower (A) 34flrs
10.River estate tower (A) 34flrs
11.River estate tower (B) 34flrs
12.River estate tower (C) 34flrs
13.River estate tower (D) 34flrs
14.River estate tower (E) 34flrs
15.River estate tower (F) 34flrs
16.River estate tower (G) 34flrs
17.River estate tower (H) 34flrs
18.River estate tower (I) 34 flrs
19.GTC residential tower (B) 32flrs
20.GTC residential tower (C) 32flrs
21.Le'mac 25flrs
22.Paliament tower 26flrs
23.KCB tower 27flrs
24.KICC tower 32 flrs
25.GTC residential (D) 30flrs
26.Teleposta tower 27flrs
27.Upperhill chambers 26flrs
28.Forth Ngong Avenue 25flrs
29.NSSF tower 28flrs
30.Nyayo house 28flrs
31.Anniversary tower 28flrs
32.University of Nairobi tower 22flrs
33.FCB mihrab tower 25flrs
34.One Africa place tower 22flrs
35. Cooperative tower 25flrs
36.Hilton hotel 21flrs
37.Lonrhon tower 22flrs
38.Hazina tower 24flrs
39.National bank tower 22flrs
40.Dunhill tower 20flrs
41.Marquis tower (A) 24flrs
42.Marquis tower(B) 24flrs
43Hazina trade center 20flrs
44.Golf hotel tower 21flrs
45.TDB tower 20flrs
46.MJ1 tower 21flrs
47.MJ2 tower 21 flrs
48.Reisurance plaza 20flrs
49.Viewpark tower 20flr
50.Escada tower 23flrs
51.Elite tower 21flrs
52.Cascadia tower (A) 20flrs
53.Cascadia tower (B) 20flrs
54.Rahimtulla tower 22flrs
55.Ambank house tower 22flrs
56.Uchumi house tower 21flrs
57.King Distinction tower 20flrs
58.Delta centre upperhill tower 21flrs
59.Montana hotel tower 20flr
60.J& M Palm residency 21flrs
61.Fedha tower 20flrs
62.postbank tower 21flrs
63.3408 Belva tower 20flrs
64.Taji residency 20flrs
 
Hii ndio CBD wanayo jimwambafy nayo

The Dark side of Nairobi's Westlands Domain

TheSource254

Oct 5, 2021 2:42 PM


Westlands just as the name suggests is the land on the west of Kenya's capital Nairobi. The lavish hood is located off the busy Nairobi gateway, Waiyaki way, and home of famous Westgate mall, Sarit center and the mall.

A mention of westlands ignites a thought of a high end area that hosts prominent business and personalities.

The area also has apartments and business units for rentals and also boasts if hosting Kenya's leading and regional companies for instance safaricom. Additionally westlands also has a number of high end hotels, with five start status which among many hosts big conferences and international guests.
However besides the appraisals linked to the area, westlands has a huge underlying problems that only it's residents come to terms with.

Scarcity of water in the rich end has affected many homes and offices forcing some to vacate to more dependable places.

Coupling to the water scarcity is poor drainage which has affected the neighborhood. Bursting sewerage systems and overflowing sewerage has coated its occupants a fortune.
If you want to face the wrath of Westlands visit it during rainy seasons, you will appreciate your hood.



Screenshot_20211005-230950_Opera.jpg
 
Na bado kuna hii project ya affordable housing yenye majengo 29 ya over 35 floors.Endermann walishinda hiyo contract ya kuyajenga......inamaana bada ya kumaliza ujenzi wa river estate wanaanza hi mara moja
render01_670.jpg
23_670.jpg
22_670.jpg
render02_670.jpg
 
Westlands gani au kuna nyingine?

The Dark side of Nairobi's Westlands Domain

TheSource254

Oct 5, 2021 2:42 PM

Westlands just as the name suggests is the land on the west of Kenya's capital Nairobi. The lavish hood is located off the busy Nairobi gateway, Waiyaki way, and home of famous Westgate mall, Sarit center and the mall.

A mention of westlands ignites a thought of a high end area that hosts prominent business and personalities.

The area also has apartments and business units for rentals and also boasts if hosting Kenya's leading and regional companies for instance safaricom. Additionally westlands also has a number of high end hotels, with five start status which among many hosts big conferences and international guests.
However besides the appraisals linked to the area, westlands has a huge underlying problems that only it's residents come to terms with.

Scarcity of water in the rich end has affected many homes and offices forcing some to vacate to more dependable places.

Coupling to the water scarcity is poor drainage which has affected the neighborhood. Bursting sewerage systems and overflowing sewerage has coated its occupants a fortune.
If you want to face the wrath of Westlands visit it during rainy seasons, you will appreciate your hood.

Screenshot_20211005-230950_Opera.jpg
 
Back
Top Bottom