The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Kuna nchi zikitajwa tu basi vumbi huwa huwa linakuja kichwani, au ukisikia wanajenga infrastructure fulani taswira ya midongo myekundu inakujia kichwani utake usitake 























ni kawaida mkuu.. ndo moja ya masharti ya mkataba.. ili kuibrand jina la hio kampuni
Mkenya sio MTU mzuri ndo maana wasudani walikua wanawapiga vipoko kwao🙂kibri,Na dharau asili Yao🙂Mimi ningekuwa na uwezo ningeitenga Tz na hii nchi ya wapumbavu.
Wajinga sana hawaMkenya sio MTU mzuri ndo maana wasudani walikua wanawapiga vipoko kwaokibri,Na dharau asili Yao
![]()


Ninacho furahia ni kuwa wanajua Tanzania inakuja kwa speed Kali! Sema ubishi Tu!Wajinga sana hawa![]()
![]()











Clean, unique and friendly ❤️❤️❤️Dar kama Dar, picha mpya za Darisalama a.k.a DSM yani D.S.M makao makuu ya East and Central AfricaView attachment 1964411View attachment 1964413View attachment 1964414View attachment 1964419View attachment 1964421View attachment 1964422
Siku hizi hatusikii kelele za kusema Kanairobi kanachapa DarClean, unique and friendly![]()





Hawa jamaa watakuja kushituka when it's too late🙂Kwelii aisee mitreni hata sijui nifananishee na nn yanii ni mibaya mpaka basi yanii hawa wajuba wametia aibu mpaka basi wamezidiwa adi na Senegal, Senegal wameshusha vitu vyenye hadhii






Nimefika Alexandria ,na KwaZulu natal ,West Africa nimefika abidjan,Kumasi na Lome. West Africa na Kenya ndugu Moja wa mama mmoja wote mnakunya kwa mifuko ya Rambo 😃
Westlands ndo nn mji au kasehemu kadogo kenye nyumba mbili tatu











Hapa karibu na GTC kuna majengo tisa ya over 20 flrs na kuna project kubwa hapo ojijo road but haijulikani ni majengo mangapi bado
Kweli mkuu ndo unaona gepu ya tajiri na masikini ni kubwa Sana kwao🙂Wanaijeria nitawapa credit kwenye kitu kimoja tuu ambacho ni ujenzi wa nyumba za kuishii, wale wajuba aisee wanajuaa ila mijii yao ni utopolo tuu ,