Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sijui ni nani aliwadanganya kuwa ukiwa upinzani automatically wewe kazi yako inakuwa ni kupinga kila kitu kwenye nchi yao. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni wajinga sana hawa watu lkn cku hz ile akili ya kipumbavu inawaisha kilazima mana hata wanapoponda hawapati support toka kwa Wakenya, c umeona jamaa kaandika upupu lkn Wakenya wenyewe hawaja support, wanaona mhh hii co kweli, cku hz Wakenya huwadanganyi kuhusu Tz mana ndio benchmark yao na wameanza copy and paste miradi ya Tz [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Eti wanashindana na tanzania azam kaagiza ndege ya ardhini hio
Screenshot_20211003-095247_(1).png
FB_IMG_1633243995148.jpg
FB_IMG_1633243997413.jpg
FB_IMG_1633243999758.jpg
FB_IMG_1633244001988.jpg
 
Wakenya mkiendelea na hii tabia mchina ataongeza umiliki wa hii barabara kwa miaka 100



angalia hio tabia yao ya uwizi, angalia hayo mabus yanayopita, angalia sura na muonekano wao.. angalia wanavyolia njaa .. afu wako humu kujidai wana maisha mazuri kuliko wabongo .. GDP yao na per capital hazina uhalisia kbsa
 
Naona battle imerudi maala pake, ila yule kisirani akija tu anarudisha siasa, nachofurahi wengi wetu humu tumemlima block so huwa anajibizana na rafiki zake tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wadau..mpoooo mana siasa ujinga zilisababisha wengine tukala ban ...nikweli turudi kwenye battle
 
Back
Top Bottom