babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,907
Sijui ni nani aliwadanganya kuwa ukiwa upinzani automatically wewe kazi yako inakuwa ni kupinga kila kitu kwenye nchi yao.



Sijui ni nani aliwadanganya kuwa ukiwa upinzani automatically wewe kazi yako inakuwa ni kupinga kila kitu kwenye nchi yao.



Ni wajinga sana hawa watu lkn cku hz ile akili ya kipumbavu inawaisha kilazima mana hata wanapoponda hawapati support toka kwa Wakenya, c umeona jamaa kaandika upupu lkn Wakenya wenyewe hawaja support, wanaona mhh hii co kweli, cku hz Wakenya huwadanganyi kuhusu Tz mana ndio benchmark yao na wameanza copy and paste miradi ya TzSijui ni nani aliwadanganya kuwa ukiwa upinzani automatically wewe kazi yako inakuwa ni kupinga kila kitu kwenye nchi yao.![]()








Wakenya mkiendelea na hii tabia mchina ataongeza umiliki wa hii barabara kwa miaka 100
Wakenya mkiendelea na hii tabia mchina ataongeza umiliki wa hii barabara kwa miaka 100
Mkenya asili yake uwongo🙄Jamaaa anakwambia wananjaa. Wapo busy na vidata vya kupika kuhusu uchumi wao
Afadhali ingekua project zao kwa pesa zao tatizo mwekezaji anawekeza alaf masharti yanaenda kuwaumiza wakenya maskini 🤣🤣
hatari ,,benz hiyo
Wakenya mkiendelea na hii tabia mchina ataongeza umiliki wa hii barabara kwa miaka 100
Hakuna barabara inajengwa kuunganisha vijiji viwiliWe msukulee nn economic sense vitu ganii, iwe isiwe nayo we tambua Barbara itajenngwa tuu
Huu ni uzembe sanaahili suala la kibu hata mim sielew.. uongozi wote upo kimya
Wadau..mpoooo mana siasa ujinga zilisababisha wengine tukala ban ...nikweli turudi kwenye battleNaona battle imerudi maala pake, ila yule kisirani akija tu anarudisha siasa, nachofurahi wengi wetu humu tumemlima block so huwa anajibizana na rafiki zake tu![]()
Pole sana mkuu, battle na iendeleeWadau..mpoooo mana siasa ujinga zilisababisha wengine tukala ban ...nikweli turudi kwenye battle


