Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Serikali ya Kenya is just broke,
It can’t build a 10km road without loan or grant.
Wewe nionyeshe towers zozote refu zenye zimejengwa na serikali ya nchi developed duniani nikuonyeshe za kenya. Ni serikali tu kama hyo yenu mgonjwa inaweza fanya hyo. Lakini kwa kujenga madaraja nawapa kongole👍
 
evidence???

IMG_2913.jpg

I can give you more if you want
 
Hii team ingeachana na siasa za Simba na Yanga ingefika mbali sn.
bado hawajaamua hao,soccer ni pesa na ukiwa na pesa hakikisha unasajili wachezaji wenye viwango,,

kwa azam fc pesa ipo,tatizo lipo kwenye usajili wa wachezaji,sijajua target ya Bakharesa kupitia hiyo team yake ni nini,aidha kujibrand ama vinginevyo maana kakwama.
 
bado hawajaamua hao,soccer ni pesa na ukiwa na pesa hakikisha unasajili wachezaji wenye viwango,,

kwa azam fc pesa ipo,tatizo lipo kwenye usajili wa wachezaji,sijajua target ya Bakharesa kupitia hiyo team yake ni nini,aidha kujibrand ama vinginevyo maana kakwama.
Kakwamishwa!

Azam aondoe wale wadananda wote pale aajiri professional managers utaona mabadiliko. Ule usimba/uyanga ndio unaoharibu pale.. na kote kwingin

timu zinapandishwa na michango ya hiari zikipata tu udhamini ligi kuu wanakuja wajuaji kuto kariakoo wanaziua... Wanasajili kishkaji kwa kuitana kuja kulipana mishahara... Na sio kuzingatia ubora wusajili na Hilo ndio linamtafuna Mzee Bakhresa... Pale kile ni kisima.. lazima azam ibakie level Fulani Ambayo Inawafanya wao waendelee kuwa relevant... Ikikuwa watakuja wenye uwezo na clearly watatakiwa waondoke...
 
Kakwamishwa!

Azam aondoe wale wadananda wote pale aajiri professional managers utaona mabadiliko. Ule usimba/uyanga ndio unaoharibu pale.. na kote kwingin

timu zinapandishwa na michango ya hiari zikipata tu udhamini ligi kuu wanakuja wajuaji kuto kariakoo wanaziua... Wanasajili kishkaji kwa kuitana kuja kulipana mishahara... Na sio kuzingatia ubora wusajili na Hilo ndio linamtafuna Mzee Bakhresa... Pale kile ni kisima.. lazima azam ibakie level Fulani Ambayo Inawafanya wao waendelee kuwa relevant... Ikikuwa watakuja wenye uwezo na clearly watatakiwa waondoke...
kabisa
 
Kwani hzo zenye zipo zilijengwa na pesa ya kitanzania? Mbona unafikiria kama popo? Sisi serikali yetu hiwezi fanya kazi za private sector. Serikali iko na kazi ya kuunda miundo mbinu ambazo zinamfikia kila mkenya kama barabara, meme, hospitali
We mpunga, shule ulikua unapataga ngapi.? 😂😂😂 Ulikua unamwelewa mwalimu wako darasani kweli.? 😂😂😂..
 
Back
Top Bottom