Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,887
- 103,752
Mpunga pelekeni kwa uwanja wa chato ambao hauna kazi. Ni vilaza kama nyie mnahitaje shule.We mpunga, shule ulikua unapataga ngapi.? 😂😂😂 Ulikua unamwelewa mwalimu wako darasani kweli.? 😂😂😂..
Tanzania nzima watu hawataki chanjo.Nawaona wanatembea na magari Yao mitaaani wanawaita watu watu hawataki.
Kwani corona bado ipo? Au ndo masharti ya mikopo bandia yanataka hivyoTanzania nzima watu hawataki chanjo.Nawaona wanatembea na magari Yao mitaaani wanawaita watu watu hawataki.




Wakenya wameshakubali kwamba sisi sio size yao tenaa, kilichobaki ni tunamalizia malizia tu wabadilishe namba za GDP tufunge huu uzi.
MY TAKE
I can pretty assure go around the whole of Kunyaland n u will find no such a bus! I say u will find "nada" of Mercedes Benz Irizar i6S Plus!
Club za Spain zinatumia mabasi haya!
![]()
![]()
VS
![]()
Nimewaambia hilo bus halipo Kenya nzima! Naona wapo kimya kama wamemwagiwa maji baridi!Wakenya wameshakubali kwamba sisi sio size yao tenaa, kilichobaki ni tunamalizia malizia tu wabadilishe namba za GDP tufunge huu uzi.
Utawafanya na huku wakimbie kama kwenye uzi wako kule walipokimbizwa na bwana DotworldNimewaambia hilo bus halipo Kenya nzima! Naona wapo kimya kama wamemwagiwa maji baridi!





Karibuni Nairobi.
Kanairobi ni kadogoo mno na licha ya udogo wake bado 3/4 ni mbuga, so maendeleo Kenya yapo kasehemu kadogo sn eneo lililobaki ni vijiji na ma slums yametapakaa.Nilwahi kufanya tour kupita inapoanzia Nairobi Express way hadi inapoishia nikawa nashangaa udogo wa Nairobi, leo kwenye hii video imeonesha how Nairobi is small, Kenya Should do something kwa ajili ya Watu wanaokaa kwenye Slums
kabisaWadau..mpoooo mana siasa ujinga zilisababisha wengine tukala ban ...nikweli turudi kwenye battle
sema hii serikali umevunja record yaani wamepata fungu la pesa basi ni mwendo wa kupiga promo ya chanjo mwanzo mwisho hadi wanatuletea ujumbe kupitia simu zetuTanzania nzima watu hawataki chanjo.Nawaona wanatembea na magari Yao mitaaani wanawaita watu watu hawataki.




