Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

20211002_191842.jpg

Wakunya wataumia sana. Msubiri 50 yrs ijayo ndio mtakuwa nayo
 
Jibu swali, nchi gani inaongoza kwa njaa hadi kupewa chakula cha msaada?

Jibu swali, nchi gani inaongoza kwa njaa hadi kupewa chakula cha msaada?
My take:ukipata kenya hapo unitag🤣🤣🤣and bydha am be seeing naijeria in that list and naigeria is 100× better than that shithole country???
 
View attachment 1960506
Wakunya wataumia sana. Msubiri 50 yrs ijayo ndio mtakuwa nayo
Tofauti ya Dar na Nairobi, Dar inajengwa miundombinu bora kila pande, Nairobi wanajenga miundombinu ya kusafirisha magari na sio watu, maendeleo ya Nairobi yote yanaelekea eneo moja...

Ukifika Nairobi inapaonzia Express way na Inapoishia ndio mwanzo na mwisho wa Nairobi..

Dar iko tofauti sana, ilipo ubungo na Linapojengwa Daraja la Salender, Kigamboni na njia inayopita SGR ni mbali sana, lakini kila sehemu kuna miradi mikubwa mikubwa

Nitafanya Survey kwenda kutembea Dodoma
 
Screenshot_20211002-195829.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20211002-195829.jpg
    Screenshot_20211002-195829.jpg
    66 KB · Views: 5
  • Screenshot_20211002-195829.jpg
    Screenshot_20211002-195829.jpg
    66 KB · Views: 6
  • Screenshot_20211002-195829.jpg
    Screenshot_20211002-195829.jpg
    66 KB · Views: 6
  • Screenshot_20211002-195829.jpg
    Screenshot_20211002-195829.jpg
    66 KB · Views: 7
  • Screenshot_20211002-195829.jpg
    Screenshot_20211002-195829.jpg
    66 KB · Views: 5
Tofauti ya Dar na Nairobi, Dar inajengwa miundombinu bora kila pande, Nairobi wanajenga miundombinu ya kusafirisha magari na sio watu, maendeleo ya Nairobi yote yanaelekea eneo moja...

Ukifika Nairobi inapaonzia Express way na Inapoishia ndio mwanzo na mwisho wa Nairobi..

Dar iko tofauti sana, ilipo ubungo na Linapojengwa Daraja la Salender, Kigamboni na njia inayopita SGR ni mbali sana, lakini kila sehemu kuna miradi mikubwa mikubwa

Nitafanya Survey kwenda kutembea Dodoma
Aisee umeongea point kubwa.
 
Back
Top Bottom