Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_20211002-222523.jpg
 
Huwa sielewi wakunya wanapojaribu kuji compare na Tz when it comes to kms of paved road, huwa wanatoa wapi ujasiri.

Nangojea Tanroad wa update data zao alafu muone show humu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Washazoea kupika takwimu kwaiyo mm sishangai nishawazoea hao
 
Nimetoka Nairobi leo hii miundo mbinu ya barabara wanaitengeza vizuri sana kama Ulaya na US etc hatuwezi kufananisha na vibarabara vya Dar zile overpass zao ni za ukweli hatuwafikii hata kidogo
Wazee wa kumpinga Magufuli yn wao huwa hawapendi kuona Tz ikisifiwa cz wanahisi anayesifiwa ni Magufuli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3]
 
Huyu hapa, alafu huu muandiko ngoja niucheki ili nikijilizisha nipige block, mtu ana ID kama 100 humu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20211002-230903.jpg
Screenshot_20211002-230744.jpg
 
Jamaa anajaribu kuja kivingine lakini wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]anajisahau[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kaja tena kivingine, ngj niendelee kumcheki kabla sijampa block, chuki binafsi zimemkaba mpk anachukia nchi yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
kwani Azam ina siasa za Yanga? Maana simba ni club inaendeshwa ki-professional kama Azam!
Premier league ni maigizo tu...
Kuna makundi mawili tu.. pro Simba na pro Yanga... Why ..!? That's debatable. But it has to be for political reasons.. keep a simple arrangement with few variables you can control... Na mwaka huu Yanga lazima Apewe ubingwa... Just wait and see how things will unfold
 
kwani Azam ina siasa za Yanga? Maana simba ni club inaendeshwa ki-professional kama Azam!
Kwamba Simba ina uwanja, ina Academy?

Timu professional inawezaje kuajiri kocha asiye na vyeti [emoji706][emoji3][emoji3][emoji117][emoji881][emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]
 
Premier league ni maigizo tu...
Kuna makundi mawili tu.. pro Simba na pro Yanga... Why ..!? That's debatable. But it has to be for political reasons.. keep a simple arrangement with few variables you can control... Na mwaka huu Yanga lazima Apewe ubingwa... Just wait and see how things will unfold
Yanga haitapewa ubingwa, Yanga itachukua ubingwa cz they deserve more, angalia mpira inaocheza Yanga kwa ss ni tofauti kabisa na timu za vpl, inacheza kibingwa, pasi zinapigwa mpaka nguo zinaungua kwa minyooko ya kipapaa [emoji3][emoji3][emoji3]
 
And that's why dodoma your "capital city" looks like a battle field!!!!how can a responsible government compete with a private sector?. Eti majengo marefu!jengo refu pekeyake Tanzania ni Mt kilimanjaro...
Hawa watu wanakuanga na excuses za kipuzii sana. Does it means hizi gorofa zetu refu ukanda huu zitaacha kuwa Kenya manake zimejengwa na our able private sector? Kufikiria ni ngumu kwa hawa majirani wetu.
 
Back
Top Bottom