Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,889
- 103,757
ule mwenge utawaka?Jana nilikua hiyo mitaa hapako hiv now, pameshakamilika bado kuwekwa lami tu tena usishangangae November tu watu wakaanza kutumia hiyo barabara, tabaka la kwanza la lami nimeshawekwa+taa ndio wanamalizia kuweka, walk walys zilishakamilika, ule mwenge wa uhuru kwenye nguzo ndefu zaidi unakaribia kuisha ujenzi wake, wakenya wakae mao wa kula tu kwa usumbufu tutakao wapa kwa hii barabara, soon ikifunguliwa


