Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Eastleigh tu.., πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ ., napenda mnavyojikweza ili muonekane.., ikija Dar haunidanganyi kamwe.., ukubwa wa Dar ni uswazi tupu, kariokoo ni kajisehemu mmekusanya vigorofa., giving a false perspective eti density..., weka wide angle aerial view nikuonyeshe kitu., πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ ..,
Unakimbia point yangu mzee, nakwambia hiv kk pekee Ina gorofa nyingi kuliko CBDs zenu zote tatu combined kama unabisha tuhesabu gorofa zilizopo CBDs zenu vs kk. Nikaongeza nikasema labda urefu na thamani ya baadhi ya majengo yenu ndio vinaeza vikajitoa kimasomaso lakini kwa idadi ya majengo ya gorofa kk haina mpinzani CBDs zenu zote tatu zinakalishwa na kk kwa idadi ya gorofa zilizopo.. bisha na hii nikutie aibu
 
I have been banned more than 10 times since I joined jamii forums because of saying the truth about Magufuli. Sycophancy Tanzania iko hadi kwa private businesses no wonder the low GDP.
That's why you keep on dying of hunger and killing each other because of tribalism. It is stupidity at the highest level to kill someone just because is not from your tribe
 
That's why you keep on dying of hunger and killing each other because of tribalism. It is stupidity at the highest level to kill someone just because is not from your tribe
Don't switch sides. Magufuli is dead and he ruined Tanzania with propaganda. Talk about that.
 
Huyu mtu [mention]Geza Ulole [/mention] ana ufala sana yaani na utu uzima wake,
Watu wakisahau hii ujinga yeye lazima airudishe humu.
90% ya content anayoweka humu ina maudhui ya kushindanisha hao watu wawili.
Huu uzi unaanza kukosa mvuto sababu ya ujinga wa watu na wengine kadhaa,
Huu mjadala uishe na turudi kwenye battle
ni kweli kabisa,,dawa ni kuwakaushia watu wa aina hiyo punde wanapo post vitu vya aina hiyo hiyo,,,
 
Unakimbia point yangu mzee, nakwambia hiv kk pekee Ina gorofa nyingi kuliko CBDs zenu zote tatu combined kama unabisha tuhesabu gorofa zilizopo CBDs zenu vs kk. Nikaongeza nikasema labda urefu na thamani ya baadhi ya majengo yenu ndio vinaeza vikajitoa kimasomaso lakini kwa idadi ya majengo ya gorofa kk haina mpinzani CBDs zenu zote tatu zinakalishwa na kk kwa idadi ya gorofa zilizopo.. bisha na hii nikutie aibu
Weka wide angle unangoja nini kilaza? drop it here, Mombasa size yenu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ .., zaidi ya hapa hakuna kingine Dar.., propaganda usiniletee, pelekea wenzako kule vijiweni..,
1632821169309.jpeg


Hesabu za hizi sehemu za Mombasa na Kk uone haziachanii mbali kwa idadi, pengine muonekano tu.,
Mombasa
1632821270073.png

1632821314673.jpeg
 
Kwanza Kwa elimu niliyonayo mimi nadhani asilimia ya watanzania waliosoma wanaoweza ku-level up na mimi ni less than 15%. And I’m being fair. Tukitoa wizi wa kura, CCM huchukua asilimia kubwa Ya votes kutoka Kwa Wanawake ambao nina uhakika Kwa Tanzania wengi wao hata tertiary education hawana. Meaning hata mambo ya politics na rule of law hawaelewi. Kwa hiyo hata kama Angefanya jambo la Ajabu wao wangebaki kuwa mashabiki tu. Magufuli hao Ndio alichukua akili zao ukijumlisha na wanaume pia.

Pia Kwasababu elimu ni janga la taifa, political dialogues Kwa watanzania wengi ni kupinga na kutukana na kukamata wale ambao opinion zao ni tofauti. Hili jukwaa ni mfano mzuri wa jinsi ambavyo watanzania walikuwa brainwashed na uongozi wa Magufuli kiasi kwamba mtu yoyote aliyemkosoa baba yao alitukanwa.
A very clear description ya Watanzania wengi hapa jf.., infact in this thread wamejazana!
 
Kuhusu demokrasia ilibidi afanye alivyofanya.

Kwa jinsi nchi ilivyokuwa inaendeshwa, kwa miaka 15 kabla yeye kuwa rais, asingeweza kufanikisha mipango yake kama angeruhusu kila mtu apige kelele. Hizi nchi zenye maslahi fulani kwa nchi maskini, huwa wanatumia upenyo wa demokrasia kurubuni maendeleo.
Hiyo haifuti ukweli kwamba demokrasia Tanzania ilipungua Sana katika uongozi wake.

Swali: Je demokrasia ni "Negotiable?"
 
Weka wide angle unangoja nini kilaza? drop it here, Mombasa size yenu .., zaidi ya hapa hakuna kingine Dar.., propaganda usiniletee, pelekea wenzako kule vijiweni..,
View attachment 1955863

Hesabu za hizi sehemu za Mombasa na Kk uone haziachanii mbali kwa idadi, pengine muonekano tu.,
Mombasa
View attachment 1955865
View attachment 1955866
Dar-is-a-slum haina metropolitan area. Yani hakuna satellite urban area outside cbd ya kariokoo na posta. Ukienda mbali ni oysterbay mahali unaeza tembea kwa mguu. Huko kwingine Its just one big slum.
In Nairobi from Thika to Kitengela ni 70km na bado uko ndani ya Nairobi metro.
Screenshot_20210928-123101.jpg
 
Kuna sehemu nimeandika kuwa Magufuli hakujenga nchi nzima? Ulichoandika ni full of HYPOCRISY na COWARDICE. Unaona tatizo lipo lakini unazungukazunguka kuweka hoja zisizo na msingi. Kwa nini usikubali tu kuwa uongozi wake ulikuwa na dosari?
Am liking your arguments., very objective and reasonable., not seared with blind patriotism, even though you are a patriot..,
 
Weka wide angle unangoja nini kilaza? drop it here, Mombasa size yenu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ .., zaidi ya hapa hakuna kingine Dar.., propaganda usiniletee, pelekea wenzako kule vijiweni..,
View attachment 1955863

Hesabu za hizi sehemu za Mombasa na Kk uone haziachanii mbali kwa idadi, pengine muonekano tu.,
Mombasa
View attachment 1955865
View attachment 1955866
We kumbe ni mpumbavu sana, tubashane kwenye ukweli sio kujifurahisha, nimekwambia 80% ya gorofa zote zilizopo kk ni 10 floors .. mbona wakenya mnapenda uongo uongo nyie, na huna aibu eti unaniita kilaza kabisa ili kutetea upuuzi wako
 
Dar-is-a-slum haina metropolitan area. Yani hakuna satellite urban area outside cbd ya kariokoo na posta. Ukienda mbali ni oysterbay mahali unaeza tembea kwa mguu. Huko kwingine Its just one big slum.
In Nairobi from Thika to Kitengela ni 70km na bado uko ndani ya Nairobi metro. View attachment 1955877
Hawapendi kusikia neno Nairobi Metro., kwao utakua umeingia mashambani ama sehemu zinaonekana uchochole tupu..,
 
Dar-is-a-slum haina metropolitan area. Yani hakuna satellite urban area outside cbd ya kariokoo na posta. Ukienda mbali ni oysterbay mahali unaeza tembea kwa mguu. Huko kwingine Its just one big slum.
In Nairobi from Thika to Kitengela ni 70km na bado uko ndani ya Nairobi metro. View attachment 1955877
kabisa yaani hakuna,upo sahihi sana sijui kwanin kwanini hiyo city ya dar iko ivo kwanini wasituige sisi wakenya venye tunafanya kwani tuko very classic kwa hii world.
 
Halitatokea kamwe wewe mchwawi na murogi, leo hii uchawi wenu na urogi umeshindwa kwa Jina la Yesu Kristo.., ., wivu, chuki na roho mbaya ni laana aise!., kijana vumilia tu, Kenya will remain forever above Tanzania, hilo weka akiba, mtaterseka hadikizazi kitakacho jikubali kizaliwe.,
 
We kumbe ni mpumbavu sana, tubashane kwenye ukweli sio kujifurahisha, nimekwambia 80% ya gorofa zote zilizopo kk ni 10 floors .. mbona wakenya mnapenda uongo uongo nyie, na huna aibu eti unaniita kilaza kabisa ili kutetea upuuzi wako
Weka nizihesabu na floors zote..., Dar tunaijua., deceptive perspective..,
1632822496383.jpeg

Eti three times Nairobi.., πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ ..,
1632822683041.jpeg
 
Kuona mnavyotamba na AI na ML jana nilikuta course ya IoT Microsoft wanaonesha YouTube nimeanza kuisoma it's very fan. Mdongo nitafika ML maana baada ya kumaliza kazi zangu jioni nina mda hata masaa 2 au matatu yanatosha kuangalia
nice one! Ukisema kitu kuna watu mabingwa wa kuku-count out! Kuna Deep Learning and smart Learning pia! All needs ML pia neural Network as foundation! Wakati mwingine mabifu yana enlight watu..! πŸ€£πŸ€£πŸ˜€πŸ˜€
 
Hawapendi kusikia neno Nairobi Metro., kwao utakua umeingia mashambani ama sehemu zinaonekana uchochole tupu..,
Huko kwao 35km, half the distance away unajipata kibaha. The equivalent of a village like Kambiti along the kenol-marua highway.
Screenshot_20210928-124433.jpg
 
Halitatokea kamwe wewe mchwawi na murogi, leo hii uchawi wenu na urogi umeshindwa kwa Jina la Yesu Kristo.., ., wivu, chuki na roho mbaya ni laana aise!., kijana vumilia tu, Kenya will remain forever above Tanzania, hilo weka akiba, mtaterseka hadikizazi kitakacho jikubali kizaliwe.,

Umetokwa povu hatari
Tazama jiji hili
IMG_2763.jpg

IMG_2759.jpg

IMG_2756.jpg

IMG_2758.jpg

IMG_2754.jpg
 
Back
Top Bottom