Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Gezaulole na makahaba wenzio mna ujumbe wenu huku murua kabisa kwa shoga enu ambae anakoelekea atakua admitted Mirembe soon 😁😁😁


Yule aliyekoti kuwa yeye ni kichaa na Jiwe mbona hamkuwahisha milembe?

Kwa hiyo unataka kupinga kwamba habebi mimba ila wewe ndio huwa unabeba au? 😅😅
 
Kwa mwenye akili timamu atajua magu mwenyewe alijijua kama yapo mabaya yake na ndio maana alikiri hamtanikumbuka kwa mabaya yangu bali mazuri, kama binadamu yeyote yule lazima ufanye mistakes kwenye maisha no one's perfect lakini katika utendaji wake serikalini mabaya yake ni 10% na mazuri ni 90% asa we kahaba unaetaka kufanya vice versa lazima utakua punguani

View attachment 1955519
Wajane aliowaacha bila shaka lazima mtamkumbuka, unadhani mimi naweza kumkumbuka kwa jema gani hasa?
 
Wale flowers wa mama wakiongozwa na Geza mripoti kwenye hii tweet mkamuokoe shoga enu wajuba wanamsulubu
anaacha hoja za msingi,anapambania mambo ambayo kiuhalisia hayawezi kufanana,
hii kitu ya gender tuliumbwa nayo kuanzia binadamu,ndege mpaka wanyama ,aache kupoteza mda for nothing,,

#KAZI IENDELEE
 
anaacha hoja za msingi,anapambania mambo ambayo kiuhalisia hayawezi kufanana,
hii kitu ya gender tuliumbwa nayo kuanzia binadamu,ndege mpaka wanyama ,aache kupoteza mda for nothing,,

#KAZI IENDELEE
Anawaweka sawa mnaoamini kwenye mfumo dume kwamba wanawake hawawezi usijitoe ufahanu
 
Naona kuna umuhimu wa hii thread kufungwa maana wengine tuki-post tunatukanwa! Hamna uhuru wa mawazo kama JF rules zinavyotaka! Wananzilankende hawana staha na wasio wananzilankende!


Ushauri

CC: Mod
 
Back
Top Bottom