Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tatizo scope pekee ya mapungufu ya demokrasia unayoangalia ni Utekelezaji wa mipango ya nchi. Kwamba, kama angeruhusu opinions za watu wengine basi asingeweza kukamilisha mipango yake. Lakini Unadhani kuwa kila mpango wa Magufuli una tija na feasibility? Mfano ni issue ya Chato. Sehemu ambayo hata kwenye map haionekani Kwa urahisi Mara ghafla anataka kujenga international airport, a major district hospital, a stadium etc.. Lakini uwekezaji wote huo ni hasara Tupu! Kama demokrasia ingekuwepo na maswala haya yakafanyiwa majadiliano bungeni na upinzani ukatoa hoja zao, basi hasara hiyo isingetokea. Lakini kwasababu alikuwa Dikteta, lolote alilopenda Moyoni mwake alilifanya.

Na pia mapungufu ya demokrasia kwenye uongozi wake yalionea watu wote waliompinga. Hata humu mtu yoyote aliyeongea hata sentensi moja ya kumkosoa Magufuli alikuwa bullied (absolute psychopathy). Uhuru wa kujieleza ulishuka, uhuru wa vyombo vya habari Ndio hata usiseme. Kiufupi, everything was a mess. Lakini majority ya watanzania, say, 84% walikuwa bega Kwa bega na udiketa wake. Why? Mass manipulation.
I have been banned more than 10 times since I joined jamii forums because of saying the truth about Magufuli. Sycophancy Tanzania iko hadi kwa private businesses no wonder the low GDP.
 
Mzee kapitie maelezo ya Dunning–Kruger effect
Tatizo lako nn? Vitambulisho vya JPM kuwa low quality na kuto-serve purpose au my knowledge on ML and AI? Au kukataa ku-share my repository account kwa jamaa yako wa APIs? It is my choice and respect that!
 
Kwanza Kwa elimu niliyonayo mimi nadhani asilimia ya watanzania waliosoma wanaoweza ku-level up na mimi ni less than 15%. And I’m being fair. Tukitoa wizi wa kura, CCM huchukua asilimia kubwa Ya votes kutoka Kwa Wanawake ambao nina uhakika Kwa Tanzania wengi wao hata tertiary education hawana. Meaning hata mambo ya politics na rule of law hawaelewi. Kwa hiyo hata kama Angefanya jambo la Ajabu wao wangebaki kuwa mashabiki tu. Magufuli hao Ndio alichukua akili zao ukijumlisha na wanaume pia.

Pia Kwasababu elimu ni janga la taifa, political dialogues Kwa watanzania wengi ni kupinga na kutukana na kukamata wale ambao opinion zao ni tofauti. Hili jukwaa ni mfano mzuri wa jinsi ambavyo watanzania walikuwa brainwashed na uongozi wa Magufuli kiasi kwamba mtu yoyote aliyemkosoa baba yao alitukanwa.
Unaweza kusoma na usielimike...
don't ever confuse Education with intelligence...Most of the world-renowned innovators who changed the way of living through their innovations hawakwenda shule na wale waliokwenda walikua na Elimu ya kawaida...hi interllectual arrogance ulionesha at your first paragraph inaondoa any good intention or points to follow.
 
IMG_1894.jpg
 
Tulikubaliana tupige battle tu, mengine tusiyoridhika nayo tuweke eneo husika tupigane vitasa huko huko, Hili eneo sio sahihi. Ukizingatia Tunapigana battle na Nchi nyingine. .
hawa wakurungwa wabishi kinoma yaani bado wanakazana na Samia na magufuli
 
That Keyword BLUE, kamwe halitatoka midomoni mwa wakunya when it comes to Dsm
They will always say it Blue Towers, Blue Ocean, Blue BRT Buses, Blue everything

Final touches to another blue baby,
Expect blue boom in coming 5 years.
IMG_1430.jpg

IMG_0359.jpg
 
hawa wakurungwa wabishi kinoma yaani bado wanakazana na Samia na magufuli

Huyu mtu [mention]Geza Ulole [/mention] ana ufala sana yaani na utu uzima wake,
Watu wakisahau hii ujinga yeye lazima airudishe humu.
90% ya content anayoweka humu ina maudhui ya kushindanisha hao watu wawili.
Huu uzi unaanza kukosa mvuto sababu ya ujinga wa watu na wengine kadhaa,
Huu mjadala uishe na turudi kwenye battle
 
Kwanza Kwa elimu niliyonayo mimi nadhani asilimia ya watanzania waliosoma wanaoweza ku-level up na mimi ni less than 15%. And I’m being fair. Tukitoa wizi wa kura, CCM huchukua asilimia kubwa Ya votes kutoka Kwa Wanawake ambao nina uhakika Kwa Tanzania wengi wao hata tertiary education hawana. Meaning hata mambo ya politics na rule of law hawaelewi. Kwa hiyo hata kama Angefanya jambo la Ajabu wao wangebaki kuwa mashabiki tu. Magufuli hao Ndio alichukua akili zao ukijumlisha na wanaume pia.

Pia Kwasababu elimu ni janga la taifa, political dialogues Kwa watanzania wengi ni kupinga na kutukana na kukamata wale ambao opinion zao ni tofauti. Hili jukwaa ni mfano mzuri wa jinsi ambavyo watanzania walikuwa brainwashed na uongozi wa Magufuli kiasi kwamba mtu yoyote aliyemkosoa baba yao alitukanwa.
Bro this is called arrogance, the way unaongea unamaanisha leo hii sisi vijana tuliosoma hatuwezi kukaa meza moja kuongea na wazee wetu waliotusomesha. Having a formal education doesn't necessarily mean you are the smartest
 
Yes kuna Tatizo, inawezekana hata hujui unaongelea nini,

Unaposema una elimu ya juu unamaanisha kwenye area ipi?

Elimu ni neno pana sana it goes far beyond academic excellence. Sijui kama
Vyeti vya Shule karibu kila mtu anavyo, mimi mwenyewe Nina vyeti vya taasisi za juu vya science ambavyo ni very clean, na nina record nzuri ya recognitions kwenye safari yangu ya Shule.
Kufaulu masomo na kuelimika ni vitu viwili tofauti.

Mueleweshe huyo pimbi anadhani humu anaongea na wa darasa la saba , kila mtu anaelimu yake humu degree kuenda juuu kwaiyo hasione mtazamo wake tuu ndio sahihi wengine makapuku Kwanzaa huyu jombi alikua ameukimbia huu uzii
 
Huyu mtu [mention]Geza Ulole [/mention] ana ufala sana yaani na utu uzima wake,
Watu wakisahau hii ujinga yeye lazima airudishe humu.
90% ya content anayoweka humu ina maudhui ya kushindanisha hao watu wawili.
Huu uzi unaanza kukosa mvuto sababu ya ujinga wa watu na wengine kadhaa,
Huu mjadala uishe na turudi kwenye battle
Nishakuambia fala ni mama yako! sasa sijui unakazana nini kuni-drag kwenye hili? Na umenikumbusha, naendelea ku-post ninachotaka hulazimishwi kunilazimisha cha ku-post!
 
Tatizo lako nn? Vitambulisho vya JPM kuwa low quality na kuto-serve purpose au my knowledge on ML and AI? Au kukataa ku-share my repository account kwa jamaa yako wa APIs? It is my choice and respect that!
Mkuu hata maendeleo ya kila jambo hayajatokea overnight . Ndio maana tulipokua o'level tulisoma Dalton atomic theory japokua alikua wrong. Hata simu unayotumia wanaupgrade kuanzia OS whether it's android or IOS na application sana update frequently . Likewise kwa vitambulisho idea ilikua nzuri we need to upgrade that ID hadi iwe integrated wafanyabiashara wadogo waweze kupata may be health insurance na baadae wajiunge na social security fund. Inabidi tuwe positive na kusaidia wazo likue hata elon mask hayupo peke yake kwenye lab zake. Maendelo hayawezi tokea tu . Ni stage by stage or step by step. Don't criticize everything
 
Tatizo lako nn? Vitambulisho vya JPM kuwa low quality na kuto-serve purpose au my knowledge on ML and AI? Au kukataa ku-share my repository account kwa jamaa yako wa APIs? It is my choice and respect that!
Kuona mnavyotamba na AI na ML jana nilikuta course ya IoT Microsoft wanaonesha YouTube nimeanza kuisoma it's very fan. Mdongo nitafika ML maana baada ya kumaliza kazi zangu jioni nina mda hata masaa 2 au matatu yanatosha kuangalia
 
Ila Kariakoo ni kitu kingine bro acha masihara kabisa, idadi ya majengo ya gorofa yaliyopo Kariakoo pekee ni sawa na idadi ya majengo yenu ya gorofa kwenye CBD zenu zote tatu combined yatapishana thamani tu na urefu to some buildings in ur CBDs, ukibisha leo tutahesabu hapa.. hivi unajua gorofa karibu 80% za KK ni juu ya floors kumi.? I can assure you, Kariakoo ingekua imepangwa kama hako ka old CBD kenu, hizo (KK) gorofa zingekua zimetapakaa na ukubwa mara tatu ya NAIROBI View attachment 1954640View attachment 1954635
Kwa mfano 👇hii picha sio hata Kk Ila hapa kuna gorofa zaidi ya 30 na haya sio kama yele magorofa yenu ya udongoView attachment 1954638
Eastleigh tu.., 😂 😂 😂 😂 😂 ., napenda mnavyojikweza ili muonekane.., ikija Dar haunidanganyi kamwe.., ukubwa wa Dar ni uswazi tupu, kariokoo ni kajisehemu mmekusanya vigorofa., giving a false perspective eti density..., weka wide angle aerial view nikuonyeshe kitu., 😂 😂 😂 😂 😂 😂 ..,
 
Nategemea kuona Kenya ikiwa kama Afghanistan
Uchaguzi ushafika tayari na lazima wauwane

Na msitegemee kuja kuweka kambi Tanzania mana tushawajua ninyi ni washenzi yani mkenya hapendwi na haaminiki kabisa mbele ya mTz.
Halitatokea kamwe wewe mchwawi na murogi, leo hii uchawi wenu na urogi umeshindwa kwa Jina la Yesu Kristo.., 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 😂 😂 ., wivu, chuki na roho mbaya ni laana aise!., kijana vumilia tu, Kenya will remain forever above Tanzania, hilo weka akiba, mtaterseka hadikizazi kitakacho jikubali kizaliwe.,
 
Back
Top Bottom