Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

now that kibera is coming to an end what will the haters be riding on?
kibera.jpg
 
Mkuu Magufuli alikua na mapungufu makubwa katika eneo la demokrasia
Kuhusu demokrasia ilibidi afanye alivyofanya.

Kwa jinsi nchi ilivyokuwa inaendeshwa, kwa miaka 15 kabla yeye kuwa rais, asingeweza kufanikisha mipango yake kama angeruhusu kila mtu apige kelele. Hizi nchi zenye maslahi fulani kwa nchi maskini, huwa wanatumia upenyo wa demokrasia kurubuni maendeleo.
 
A short summary of what Tanzania went through under “awamu ya tano.” Mass manipulation of facts, lies, lies, and more lies.

F7619700-20FE-457D-B5BE-D14363284CFA.jpeg
 
Kuhusu demokrasia ilibidi afanye alivyofanya.

Kwa jinsi nchi ilivyokuwa inaendeshwa, kwa miaka 15 kabla yeye kuwa rais, asingeweza kufanikisha mipango yake kama angeruhusu kila mtu apige kelele. Hizi nchi zenye maslahi fulani kwa nchi maskini, huwa wanatumia upenyo wa demokrasia kurubuni maendeleo.
Tatizo scope pekee ya mapungufu ya demokrasia unayoangalia ni Utekelezaji wa mipango ya nchi. Kwamba, kama angeruhusu opinions za watu wengine basi asingeweza kukamilisha mipango yake. Lakini Unadhani kuwa kila mpango wa Magufuli una tija na feasibility? Mfano ni issue ya Chato. Sehemu ambayo hata kwenye map haionekani Kwa urahisi Mara ghafla anataka kujenga international airport, a major district hospital, a stadium etc.. Lakini uwekezaji wote huo ni hasara Tupu! Kama demokrasia ingekuwepo na maswala haya yakafanyiwa majadiliano bungeni na upinzani ukatoa hoja zao, basi hasara hiyo isingetokea. Lakini kwasababu alikuwa Dikteta, lolote alilopenda Moyoni mwake alilifanya.

Na pia mapungufu ya demokrasia kwenye uongozi wake yalionea watu wote waliompinga. Hata humu mtu yoyote aliyeongea hata sentensi moja ya kumkosoa Magufuli alikuwa bullied (absolute psychopathy). Uhuru wa kujieleza ulishuka, uhuru wa vyombo vya habari Ndio hata usiseme. Kiufupi, everything was a mess. Lakini majority ya watanzania, say, 84% walikuwa bega Kwa bega na udiketa wake. Why? Mass manipulation.
 
Tatizo scope pekee ya mapungufu ya demokrasia unayoangalia ni Utekelezaji wa mipango ya nchi. Kwamba, kama angeruhusu opinions za watu wengine basi asingeweza kukamilisha mipango yake. Lakini Unadhani kuwa kila mpango wa Magufuli una tija na feasibility? Mfano ni issue ya Chato. Sehemu ambayo hata kwenye map haionekani Kwa urahisi Mara ghafla anataka kujenga international airport, a major district hospital, a stadium etc.. Lakini uwekezaji wote huo ni hasara Tupu! Kama demokrasia ingekuwepo na maswala haya yakafanyiwa majadiliano bungeni na upinzani ukatoa hoja zao, basi hasara hiyo isingetokea. Lakini kwasababu alikuwa Dikteta, lolote alilopenda Moyoni mwake alilifanya.

Na pia mapungufu ya demokrasia kwenye uongozi wake yalionea watu wote waliompinga. Hata humu mtu yoyote aliyeongea hata sentensi moja ya kumkosoa Magufuli alikuwa bullied (absolute psychopathy). Uhuru wa kujieleza ulishuka, uhuru wa vyombo vya habari Ndio hata usiseme. Kiufupi, everything was a mess. Lakini majority ya watanzania, say, 84% walikuwa bega Kwa bega na udiketa wake. Why? Mass manipulation.
So hao Watz 84% wote walikuwa wajinga kwamba hawakuona kinachofanyika, ila nyie 16% ndiyo pekee mlikuwa na akili.

Mtapinga sana mwishowe tutaongea lugha moja, mlianza kusema alikuwa hakubaliki now mnasema alikubalika na 84% mwishowe mtakubali ukweli kwamba alithubutu akaweza now tunaenjoy matunda ya uthubutu wake.
 
Back
Top Bottom