Tz_one
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 3,039
- 8,170
Sijajua umetumia picha ambazo zimepigwa kwenye level moja au technique ipi...ila the best way ni kuangalia floor height ya kila floor ..na kuzi add au kupima meters ...Kwa wanaojua height ya majengo kwa vipimo wanaezakubalina na mimi kua majengo ya mzizima ni between 135 to 130m kwa office tower,huku la residential ni 110 to 105m kwa muonekano.
Nimefanya hii comparison nikitumia majengo ya GTC hotel tower ambayo ni 143m na 38 floors na pia yale mawili ya residential yaliyo na 110m na 32 floors...so kwenye huu utafiti nimegundua GTC hotel tower ni ndefu zaidi kwa ile ya mzizima na meters kadhaView attachment 1953196View attachment 1953198
Most of Public companies zinazojenga haya majengo huwa hazinotify height na wanapenda kutumia floor count which is not the best way .
Anyways i still think Mzizima iko below GTC office tower..but ni ndefu kuliko tower nyingine zote za GTC
I estimate it to be 150m for the office tower and 120m for residential
The first two pics cant be used ku compare due to distance
Kwenye Picha ya tatu kuna Benjamin Mkapa tower which is 90m 21 floor building and City Piaza 21 floor ..and they are just 4 blocks away from mzizima tower ila angalia ilivyoyapita