Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Wakuu nani anajua namna ya kuignore disgusting posts from stupid people. Msaada Tafadhali
Unaclick kwenye dp yao then utaletewa option ya ku ignore
Wakuu nani anajua namna ya kuignore disgusting posts from stupid people. Msaada Tafadhali
pumbavu mama yako! Huwezi ku-dictate opinion yangu madudu ya malaika JPM (nepotism and parochial politics) lazma vikemewe pia!
Unaclick kwenye dp yao then utaletewa option ya ku ignore
Game Over uko sahihi, huwezi kupuuziaHao kina geza na mwezie ni wapumbavu tu,, take it that way. Huhitaji kuumia sababu ya wapumbavu. JPM Legacy lives.
Huku kitaa watu hawamwelewi kabisa bi mkubwa,
But all in all jpm ameweka standard kiongozi anatakiwa afanye nini…
Hapo Tz SGR imemaliza mjadala hakuna mtu wa kuleta fyokofyoko kuhusu comparison na the new lunatic railway to no where.
Useless road with no service lanes. Kwani iko kijijino au jijini
Magufuli did nothing. Sgr, struggling gorge etc hakuna mradi umeisha ni mambo ya vijiweni tuuLegacy ya Magufuli ni ya miaka 100, aliyoyafanya Magufuli yatawatesa Marais wengi wajao....
Watu wanaosema tuache Siasa turudi kwenye Battle, Nini ambacho tutakiweka zaidi ya ambavyo Magufuli ameanzisha na kuyaacha na aliovopanga kuavifanya ndani ya miaka 10?
Magufuli na Nyerere ndio viongozi wenye hadhi ya Urais tumewahi kuwa nao...
Watu kama nyie hamjitambuiMagufuli did nothing. Sgr, struggling gorge etc hakuna mradi umeisha ni mambo ya vijiweni tuu
Useless road with no service lanes. Kwani iko kijijino au jijini
Ona huyu fala mdanganyika. Ukitaka kuacess Nyumba yako kando ya hio barabara itakuaje? Remember ni katikati ya mji.Acha nyege wewe service road za nn kwenye highway