Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naijua Dar mimi sihitaji propaganda zako., wewe jitekenye ukicheka.., pia mimi naweza kukuwekea picha zinazo onyesha matako ya Cairo Egypt ukashangaa utadhani Cairo iko nyuma sana lakini sivyo.., I understand perceptions na kucheza na vipicha.., video clips ni bora zaidi, kwanza drone views., hakuna kiswahili ni macho kutazama hali kamili ya maeneo..,
Kama hii hapa ya Mombasa., nje ya Dar haupati mji kama huu..,
Ww unaiju Dar ? huna unacho jua zaid ya denial
 
Shujaa Pride!!!!:cool::cool::cool::cool: Second best team in the HSBC sevens circuit. Global superstars..... proud of the Boyz. Nyinyi endeleeni Kushabikia Simba vs Yanga!!

E_tUv8XWYAQ9a0O
 
better waganda ×100. wao hawajioni special saaana kushinda kila mtu.. hawana kiburi. wao nikuchapa kazi tu
Mtanzania ni namna unavyojileta kwake, ukija kama wenyewe walivyo yaani kwa heshima, calmness, down to earth and politely utapata vyote hata ukitaka kumtapeli mtanzania kirahisi act in such characters utaondoka na everything

Lakini ukitaka usikae ukaelewana na mtanzania muoneshee dharau, ujuaji mwingi, arrogance, disrespectful, much know hapo hutomuelewa mtanzania sadly wakenya wengi ndivyo mlivyoumbwa na hizo sifa so lazima watanzania uwaone miyeyusho tu

Wakenya wachache walionenda sawa na watanzania, shuhuda zao hizi hapa!

Screenshot_20210920-203745~2.png
Screenshot_20210920-203943~2.png
 
Unatumiaga nguvu sana kuelezea machungu yako na wishes zako ili tufanane

Siwezi kwenda Burundi au Sudan au Somalia nikataka kuishi huko eti kisa chakula ni cheap na makazi

Mtu yeyote anaenda nchi ngeni na kutaka kuishi kabisa huko ni baada ya kuona tofauti kubwa sana ya ubora tofauti na atokako

Naweza kukuletea tens of screenshots like this kuonesha ni namna gani millions of Kenyans wish to be or relocate to Tanzania, punguza maumivu uukubali ukweli

View attachment 1946302
Nilikuwa naangalia EA news EATV wameripoti wenye magari Kenya wanalamika bei ya petrol kuwa kubwa hadi inawalazimu kwenda kununua petrol kwenye nchi jirani.

Huyo mpumbav anayetoa machungu hapo...kama kweli wanamudu gharama ghali za maisha kwenye nchi yao kwanini wasinunue petrol nchini kwao na kuacha kulia lia ovyo!
 
Nilikuwa naangalia EA news EATV wameripoti wenye magari Kenya wanalamika bei ya petrol kuwa kubwa hadi inawalazimu kwenda kununua petrol kwenye nchi jirani.

Huyo mpumbav anayetoa machungu hapo...kama kweli wanamudu gharama ghali za maisha kwenye nchi yao kwanini wasinunue petrol nchini kwao na kuacha kulia lia ovyo!
Huwa wanajidanganya sana eti sababu wanafake gdp kubwa basi na bei na gharama za maisha zinatakiwa ziwe juu 😂😂😂 RIP Kenyas education

Unakuta mtu anaongea hivyo kwa kujitapa kabisa eti gharama za maisha kuwa juu ndio reflection ya ukubwa wa uchumi tena anakutolea mfano na Marekani 😂😂😂

Elimu yao ndogo sana au ulimbukeni, wanasahau ughali wa maisha ni sababu serikali yao inawakamua kodi kubwa sana na gharama za uzalishaji ni juu zaidi ndio maana majority wanaishi kwenye mabanda ya bati kwa mlo mmoja 😢
 

Huyu nyumbu ni fala, uhasibu na uchumi wapi na wapi? Hakuna mwaka nakisi ya bajeti ikakosekana na miaka yote huwa inapunguzwa kwa mikopo na misaada ya wahisani kwa hiyo huyo zwazwa wa CPA haelewi anachoongea..

Pili Serikali kupeleka bungeni supplementary ni jambo la uwazi , Mwendazake alikuwa anatumia bila approval ya Bunge kitu ambacho huwezi track fedha..

Mwisho nakisi lazima ingetokea kwa sababu fedha ambayo ilikuwa ipatikane kwenye tozo takribani 1T haitafikiwa kutokana na Rais kuagiza wapunguze viwango vya tozo na kuwaondoa watu wenye miamala kuanzia 1,000 kushuka chini,haya yameathiri matazamia ya bajeti lakini kwa fedha zilizopatikana zitafidia hiyo nakisi.
 
Huwa wanajidanganya sana eti sababu wanafake gdp kubwa basi na bei na gharama za maisha zinatakiwa ziwe juu RIP Kenyas education

Unakuta mtu anaongea hivyo kwa kujitapa kabisa eti gharama za maisha kuwa juu ndio reflection ya ukubwa wa uchumi tena anakutolea mfano na Marekani

Elimu yao ndogo sana au ulimbukeni, wanasahau ughali wa maisha ni sababu serikali yao inawakamua kodi kubwa sana na gharama za uzalishaji ni juu zaidi ndio maana majority wanaishi kwenye mabanda ya bati kwa mlo mmoja
Hawa wakumbaf mkoloni aliondokaga na akili zao.
 
Inawachukua siku 2 kutoka Nairobi mpaka Moyale (border na Ethiopia ) halafu wanakuja hapa kuweka fake figures kuhusu barabara zao. Yani jamaa wanajikamatisha wenyewe.

Kwa sasa hakuna sehemu hapa Tanzania unatumia siku mbili kufika. Hakuna!

Kilicho nishangaza zaidi ni swala la kuhitaji mkalimani (translator) hapo mpakani??

Tanzania ingawa imepakana na nchi nyingi. Unahitaji Kiswahili tu kuongea na watu kutoka nchi yoyote mipakani.
 
Uchumi wa Kenya ni mkubwa karibu mara 2 ya Tzn,na miaka ya 2015 plus uchumi wao umekua kwa wastani wa 5 plus ..

Imagine hadi mwaka huu growth rate yao iko juu ya Tzn,haikuwa hivi miaka 5 iliyopita.

Dhalimu mzilankende ndio aliharibu uchumi,miaka yake imekuwa useless, uchumi ulianguka akabakia kuleta propaganda kwamba mabeberu wanamuonea hadi kufukuza muwakilishi wao Tzn..
Ukipata data inasema uchumi wa kenya ni mara ya mbili ya Tanzania kwanza mm nafunga acc Cha pili ukijua debt to GDP ratio inamaanisha nn basi bangi umepinguza
 
Pamoja na uzuri wa huu mradi lakini ni muhimu kuzingatia local content

Inajulikana watanzania wengi wamekua mabilionea kwa kuleta mizigo kutoka China na kuuza Tanzania na nchi jirani, kariakoo ni richest District in Tanzania kwa shughuli hii na uchumi unakua vibrant sababu maduka ya kariakoo ni ya wabongo

Sasa huyu mchina analeta maduka 3000 na bidhaa za hapa zitakua ni wholesale kwa bei sawa na China kwa quality ileile au juu zaidi, kama wanataka hii iwe viable na isiathiri uchumi wa importers wa Tanzania maduka 80% yamilikiwe na watanzania sababu wanunuzi kutoka Zambia, Mozambique, Burundi, Malawi, Rwanda, DRC, Uganda wakiona hivi watahama kariakoo sababu wa kariakoo hawataweza shindana na wachina wa ubungo

Hili hali hitaji kukurupuka kwenye sector ya biashara, import ndio kubwa na ndio imeajiri watanzania wengi, ikiwa monopolised na watu wachache (foreigners), wafanyabiashara wengi wa ndani wataumia!

Sababu sisi hatuzalishi, tunategemea tukanunue kwao tuje tuuze tupate kimia 2 maisha yaende, sasa wao wakikaba yote wa tengeneza wao, wasafirishe wao na waje wamuuzie final consumer wao, sasa sisi tuna kazi gani duniani hapa!
Lengo wanataka bidhaa za Tanzania pia zitambulishwe zote pale kwa pamoja
 
Mtanzania ni namna unavyojileta kwake, ukija kama wenyewe walivyo yaani kwa heshima, calmness, down to earth and politely utapata vyote hata ukitaka kumtapeli mtanzania kirahisi act in such characters utaondoka na everything

Lakini ukitaka usikae ukaelewana na mtanzania muoneshee dharau, ujuaji mwingi, arrogance, disrespectful, much know hapo hutomuelewa mtanzania sadly wakenya wengi ndivyo mlivyoumbwa na hizo sifa so lazima watanzania uwaone miyeyusho tu

Wakenya wachache walionenda sawa na watanzania, shuhuda zao hizi hapa!

View attachment 1946400View attachment 1946401
wanajihisi wao ni bora wanafikiri sisi ni watu wa kucheka cheka hovyo ni makatuni,
hawajui behaviour za wabongo vizuri hawa ukileta uchizi watu wanachizika na wewe pia ukileta unafki watu wanakupiga unafki *10 kisha maisha yanaendelea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom