Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_1695.png
 
an objective observation, sio kama wivu zenyu na kupiga kifua., alafu maisha kwa nchi fukara kiuchumi huwa ya chini sana, vitu bei rahisi, nyumba cheap, chakula kwa hoteli average bei ya kibanda hapa Kenya, nimetembea nimejionea, so that is acceptable..,
Unatumiaga nguvu sana kuelezea machungu yako na wishes zako ili tufanane

Siwezi kwenda Burundi au Sudan au Somalia nikataka kuishi huko eti kisa chakula ni cheap na makazi

Mtu yeyote anaenda nchi ngeni na kutaka kuishi kabisa huko ni baada ya kuona tofauti kubwa sana ya ubora tofauti na atokako

Naweza kukuletea tens of screenshots like this kuonesha ni namna gani millions of Kenyans wish to be or relocate to Tanzania, punguza maumivu uukubali ukweli

Screenshot_20210920-184801~2.png
 
Unatumiaga nguvu sana kuelezea machungu yako na wishes zako ili tufanane

Siwezi kwenda Burundi au Sudan au Somalia nikataka kuishi huko eti kisa chakula ni cheap na makazi

Mtu yeyote anaenda nchi ngeni na kutaka kuishi kabisa huko ni baada ya kuona tofauti kubwa sana ya ubora tofauti na atokako

Naweza kukuletea tens of screenshots like this kuonesha ni namna gani millions of Kenyans wish to be or relocate to Tanzania, punguza maumivu uukubali ukweli

View attachment 1946302
Keyboard warriors, hawajui vitu kwa ground ni different! 🤣 🤣 🤣
 
Keyboard warriors, hawajui vitu kwa ground ni different! 🤣 🤣 🤣
Keyboard warriors wakati huyo ni vloger wenu na amefika Tanzania

Angalia huyu mwingine anataka kuhamia kabisa leo leo

Maisha ya Tanzania ni matamu asikwambie mtu, huyu anasema kwa time Zanzibar ipo awake, back home Nairobi people are under the mosquito net

Sasa kama Zanzibar tu inaikalisha Nairobi kwa nightlife and vibe, Dar itakuaje!

Get it from your hommie here 😅😅😅
 
Keyboard warriors wakati huyo ni vloger wenu na amefika Tanzania

Angalia huyu mwingine anataka kuhamia kabisa leo leo

Maisha ya Tanzania ni matamu asikwambie mtu, huyu anasema kwa time Zanzibar ipo awake, back home Nairobi people are under the mosquito net

Sasa kama Zanzibar tu inaikalisha Nairobi kwa nightlife and vibe, Dar itakuaje!

Get it from your hommie here 😅😅😅

Ahamie tu, huku mbone wabongo wengi tu na wala hawarudi leo Bongo! 🤣 🤣 🤣
 
Ahamie tu, huku mbone wabonge wengi tu na wala hawarudi leo Bongo! 🤣 🤣 🤣
1 out million utakuta mtanzania anataka kuishi Kenya

Maisha ya kenya ni magumu sana, fursa ni finyu mno, kutoboa Kenya lazima uwe jambazi sugu otherwise itabidi ufanye kazi 20 times harder than normal people from other countries!

Hii isitafsiriwe kama normal hardworking bali ni ukosefu wa opportunities
 
Inawachukua siku 2 kutoka Nairobi mpaka Moyale (border na Ethiopia ) halafu wanakuja hapa kuweka fake figures kuhusu barabara zao. Yani jamaa wanajikamatisha wenyewe.

Kwa sasa hakuna sehemu hapa Tanzania unatumia siku mbili kufika. Hakuna!

 
Inawachukua siku 2 kutoka Nairobi mpaka Moyale (border na Ethiopia ) halafu wanakuja hapa kuweka fake figures kuhusu barabara zao. Yani jamaa wanajikamatisha wenyewe.

Kwa sasa hakuna sehemu hapa Tanzania unatumia siku mbili kufika. Hakuna!

Umeongea kwa kifupi lkn vitu vizito mnoo.
 
Naijua Dar mimi sihitaji propaganda zako., wewe jitekenye ukicheka.., pia mimi naweza kukuwekea picha zinazo onyesha matako ya Cairo Egypt ukashangaa utadhani Cairo iko nyuma sana lakini sivyo.., I understand perceptions na kucheza na vipicha.., video clips ni bora zaidi, kwanza drone views., hakuna kiswahili ni macho kutazama hali kamili ya maeneo..,
Kama hii hapa ya Mombasa., nje ya Dar haupati mji kama huu..,
Ww unaiju Dar ? huna unacho jua zaid ya denial
 
Back
Top Bottom