Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mizigo kama mabegi yanakaa wapi safari ndefu hivyo? Wengine wanasafiri na watoto wadogo, mama anakaaje na mwanae hapo? Changing diapers, feeding etc kwenye huo mbanano? Mnapumulianaje kwanza masaaa zaidi ya matano humo ndani?
Shuttles hazibebi mizigo, kama uko mizigo itabidi utafute bus.
 
Mizigo kama mabegi yanakaa wapi safari ndefu hivyo? Wengine wanasafiri na watoto wadogo, mama anakaaje na mwanae hapo? Changing diapers, feeding etc kwenye huo mbanano? Mnapumulianaje kwanza masaaa zaidi ya matano humo ndani?

pia, ushuzi wa mtu ukitoka kule seat ya nyuma kbsa hata dereva atausikia
 
isn't kenya beautiful?
FB_IMG_16314700135529562.jpeg
 
Shuttles hazibebi mizigo, kama uko mizigo itabidi utafute bus.
Shuttle/vipanya ndio Common mode of transport Kenya yote, mabasi ni ya kuhesabika hizi mnaziita Sacco matatu ndio usafiri rasmi wa mikoani huko ambao ni wa kifedhuli sijapata kuona!

Halafu hivi vipanya vinamilikiwa na ushirika some kind of saccos huku Tanzania, sio mali ya mtu mmoja 😅😅😅

Sasa si huwa mnashangaa sana huku Tanzania mkiona mtu mmoja tu ananunua scania marcopolo au Higer 15 kwa mara 1?😅😅😅
 
Usi

Usipende kubisha vitu ambavyo havipo !
Wewe Tanzania umefika? Tunakupa Mpaka na evidence wewe unakataa Tu Mabasi yenu mazuri ni ya kuhesabu! Sisi tuna makampuni Zaid ya Mia na....from mkoa to mkoa!
Wakenya mwanzoni mwa hii thread walikuwa wanapost vipicha vyao wakidhani Tz ni ya polepole nowadays sisi ndiyo tunapost vitu vyetu ambavyo kwao hamna so wamebaki kuongea pasipo ushahidi
 
Wakenya mwanzoni mwa hii thread walikuwa wanapost vipicha vyao wakidhani Tz ni ya polepole nowadays sisi ndiyo tunapost vitu vyetu ambavyo kwao hamna so wamebaki kuongea pasipo ushahidi
Yaani hawaamini karibia kila sector tunawapiga tatu bila ikifikia, usafir ✔️,mazingira Safi na salama✔️
Yaani tupo vizuri tumshukuru mwennyez mungu kwa neema hii kuu na kuzaliwa Tanzania 🙂
 
Shuttle/vipanya ndio Common mode of transport Kenya yote, mabasi ni ya kuhesabika hizi mnaziita Sacco matatu ndio usafiri rasmi wa mikoani huko ambao ni wa kifedhuli sijapata kuona!

Halafu hivi vipanya vinamilikiwa na ushirika some kind of saccos huku Tanzania, sio mali ya mtu mmoja 😅😅😅

Sasa si huwa mnashangaa sana huku Tanzania mkiona mtu mmoja tu ananunua scania marcopolo au Higer 15 kwa mara 1?😅😅😅
Watakuambia modern and advanced mode of transportation in East Africa 🙂
 
Watakuambia modern and advanced mode of transportation in East Africa 🙂
Wakawaambie hivyo level yao Sudan na Somalia 😅😅😅

Angalia their top notch traveling experience mpaka inwripotiwa kwenye TV yao kubwa 😂😂😂

⚠️ Usiangalie kama hutaki kucheka 🤣🤣



Wakawaambie hivyo level yao Sudan na Somalia 😅😅😅

Angalia their top notch traveling experience mpaka inaripotiwa kwenye TV yao kubwa 😂😂😂

⚠️ Usiangalie kama hutaki kucheka 🤣🤣

 
Wakawaambie hivyo level yao Sudan na Somalia 😅😅😅

Angalia their top notch traveling experience mpaka inaripotiwa kwenye TV yao kubwa 😂😂😂

⚠️ Usiangalie kama hutaki kucheka 🤣🤣


Aiseee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hii ndo first class experience Yao jamaa sikatuambia hayo magari hayapakii mizigo🤣🤣🤣🤣🤣ama kweli nimecheka Kama Fala🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom