Guess work sio vizuri sometimes, by 2017 Ena Coach haikuwa imeanzishwa.Picha ya zamani sn hii, tangu mwaka 2017, na ni hyo hyo moja tu, hope that the owner of this shuttle uses this van for tourists.
Fikieni hapa ndio mpige kelele. Nairobi - Kisumu.Nitapiga picha za luxury buses zenu za kikunya alafu tuone nani anatu zushia uongo humu🙂
Yanga sijui ilirogwa na nani, yani when it comes to international leagues inakuwa utopolo sana. Yanga ni Utopolo.Yanga mnatia aibu taifa... mnatukosesha Tanzania kuingiza timu nne msimu ujao..
Utopolo kaka..Biashara pamoja na misukosuko yote aliyopitia kashinda goal ugenini.. nyie nyumban mnafungwa [emoji102]
Ila we jamaa unaniacha hoi sana 😂😂😂, watu tunapost msururu wa mabasi we unapost kigar kimoja, hapa bongo kila sehem unaskia panaitwa jiji kuna kampuni za mabasi zaidi ya kumi, nielewe sio idadi ya mabasi lah.!! "kuna kampuni za mabasi zaidi ya kumi" achana na hizi towns kama Morogoro, Moshi na Iringa
Acha kelele mingi bana, show us any bus in Tanzania that you can compare with this beast.Ila we jamaa unaniacha hoi sana 😂😂😂, watu tunapost msururu wa mabasi we unapost kigar kimoja, hapa bongo kila sehem unaskia panaitwa jiji kuna kampuni za mabasi zaidi ya kumi, nielewe sio idadi ya mabasi lah.!! "kuna kampuni za mabasi zaidi ya kumi" achana na hizi towns kama Morogoro, Moshi na Iringa
Nairobi kisumu ndani ya kipanya
There's something known as "variety" si lazima kila mtu atumie basi.Nairobi kisumu ndani ya kipanya
No TV, no movies, no music, no drinks, no snacks, charging ports, no bending seats, no 2*2/2*1 seat, no fancy lighting, no large comfort seat, no big luggage carrier, no air conditioning
Safari ya 400km Nairobi kisumu? Hamna mtanzania ataingia humu ndani bro!
View attachment 1935084View attachment 1935085View attachment 1935086
Duh aisee mna safari ndefu 😅😅😅
Hilo ni basi moja Tu! Tupe fleet kama za hunters
Huyu mwamba na begi lake utadhani anaenda Airport, ila Wakenya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nairobi kisumu ndani ya kipanya
No TV, no movies, no music, no drinks, no snacks, charging ports, no bending seats, no 2*2/2*1 seat, no fancy lighting, no large comfort seat, no big luggage carrier, no air conditioning
Safari ya 400km Nairobi kisumu? Hamna mtanzania ataingia humu ndani bro!
View attachment 1935084View attachment 1935085View attachment 1935086
Duh aisee mna safari ndefu [emoji28][emoji28][emoji28]
Itategemea na mafanikio ya Mnyama na AzamYanga mnatia aibu taifa... mnatukosesha Tanzania kuingiza timu nne msimu ujao..
Mizigo kama mabegi yanakaa wapi safari ndefu hivyo? Wengine wanasafiri na watoto wadogo, mama anakaaje na mwanae hapo? Changing diapers, feeding etc kwenye huo mbanano? Mnapumulianaje kwanza masaaa zaidi ya matano humo ndani?There's something known as "variety" si lazima kila mtu atumie basi.
Buses za Tanzania can't get close to Ena Coach 😂.Hilo ni basi moja Tu! Tupe fleet kama za huntersView attachment 1935104
View attachment 1935106
🙄aafu ena coach japo Wanajitahidi Ila bado Sana Bora ungeniambia hata modern coast na buscar !
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hata google wanaelewa
KENYA
View attachment 1935119
View attachment 1935120
TANZANIA
View attachment 1935122
View attachment 1935123
yani kwenye hizi picha.. unaona kbsa wapi kumekaa kuchafu na wapi kusafi.. au wapi kumekaa kiafrica na wapi kumekaa kieurope
NEATNESS[emoji1476]
Sasa wakija watano wenye mabegi kama hayo si kigari kishajaa hicho? 😅😅😅Huyu mwamba na begi lake utadhani anaenda Airport, ila Wakenya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1935111