Inakatisha na BuzaEeh eeh kaz kweli kweli vingunguti huku viwandanii sipati picha
Inakatisha na BuzaEeh eeh kaz kweli kweli vingunguti huku viwandanii sipati picha
Sure, yaani hiyo siku Azam anapata huo chongo kwisha habari ya DSTVDstv kinachombeba supa spoti lakini mda sio mrefu atapotezwa na azamu
Of course, ndio maana nkaona ni kama wanakua desperate iviIla iko kifurushi kwa channel zile hakina maana yoyote
😀Kwetu masoko ya kawaida ila jirani kwao wanapamba na maneno ya Mall
Road ipi hyo itakatiza buza mkuu.Inakatisha na Buza
utaskia super mall!😀Kwetu masoko ya kawaida ila jirani kwao wanapamba na maneno ya Mall
also in SA you'll find these Cabs in theirs numbers..... i've ever been there, gauteng province
Washenzi wanao bandika matangazo wapigwe faini sh mil4 hadi 10 na kifungo miezi 2
Hawawezi kukubali, MaxMalipo alishakubaliana nao na alikua ailete fly emirates ila vyeti feki wakaona watakosa pa kupiga na ndio maana unanona sikuizi brt ticket sio kama mwanzoni. Zile za mwanzoni zilikua zinazuia upigaji wakatengeneza figisu system ikazimwa kama unakumbuka hivi majuzi Majaliwa alikua anawabananisha kwenye ile ziaraHii BRT system wampe Bakhressa alafu muone maajabu![]()
wewe peleka upumbavu baada ya kupewa NMC factories zote na Mwinyi kwa ubini wa Uzanzibari na pamoja na Abood kupewa viwanda vya Morogoro unataka wepewe mbona usiseme BRT iingie DSE kila mtu aweze annunue shares hata mwenye Tshs 1 mln? Ukiwa na akili zilizozubaa bwana! kwako wewe Bakhresa Mungu sio?Hii BRT system wampe Bakhressa alafu muone maajabu![]()