Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_0887.jpg
 
Hii BRT system wampe Bakhressa alafu muone maajabu
Hawawezi kukubali, MaxMalipo alishakubaliana nao na alikua ailete fly emirates ila vyeti feki wakaona watakosa pa kupiga na ndio maana unanona sikuizi brt ticket sio kama mwanzoni. Zile za mwanzoni zilikua zinazuia upigaji wakatengeneza figisu system ikazimwa kama unakumbuka hivi majuzi Majaliwa alikua anawabananisha kwenye ile ziara
 
Hii BRT system wampe Bakhressa alafu muone maajabu
wewe peleka upumbavu baada ya kupewa NMC factories zote na Mwinyi kwa ubini wa Uzanzibari na pamoja na Abood kupewa viwanda vya Morogoro unataka wepewe mbona usiseme BRT iingie DSE kila mtu aweze annunue shares hata mwenye Tshs 1 mln? Ukiwa na akili zilizozubaa bwana! kwako wewe Bakhresa Mungu sio?
 
Back
Top Bottom