Huyu ndiye tajiri namba moja EAmaana halisi ya kuwa mwenye hela./tajiri . yule mwingine mswahili afu mbahiri muongeaji
Hakuna ulinganifu wowote kati ya Kenya na Tanzania, hapa tunaliwazana tu, alafu kingine ni upuuzi wa GDP ambayo haiakisi ukweli, lkn wakishaweka uhalisia kwenye GDP hii battle inakufa rasmi. Tumewazidi kila kitu.
Geza Ulole huwa anawalinganisha Bakhressa na Mo kiukweli hakuna uhalisia kabisa, Bakhressa kamuacha Mo mbali sana, kinachotokea ni kama ushuzi wa GDP kati ya Tz na Kenya, lkn on ground Bakhressa yupo sayari yake, Mo binafsi anamuogopa Bakhressa kama Kenya inavyoiogopa Tz.Huyu ndiye tajiri namba moja EA hao wengine wasenge tu.
Hapa kutakuwa na view matata sana ila wanyonge wanaharibu hii view, wamejaza vibanda everywhere, tena ni vile vibanda vyenye sura mbovu, nampenda Magufuli ila hapa alifeli kabisa.Sooner than leter,the cables zitanza kunganishwaView attachment 1923843View attachment 1923844









kwalipi lilikofanya kusema hili? Mimi sishangilii watu kwa ushabiki bali kwa balance yao! Labda kama Bakhresa anakwepa kodi!Geza Ulole huwa anawalinganisha Bakhressa na Mo kiukweli hakuna uhalisia kabisa, Bakhressa kamuacha Mo mbali sana, kinachotokea ni kama ushuzi wa GDP kati ya Tz na Kenya, lkn on ground Bakhressa yupo sayari yake, Mo binafsi anamuogopa Bakhressa kama Kenya inavyoiogopa Tz.
hahahahah...... mwanzo..... hii☝ Sportpesa, headquarter ilikua kenya, nairobi.! ni kwasababu tu serikali ya kenya haikutaka vijana wake wakae wazembe kwa kubugia gambling gambling.. ikaipiga marufuku vibaya sana, ndo maana sahizi itapatikana tz.
Hehehehee kati ya Mo na Bakhressa nani anayekwepa kodi, hivi ukiangalia tu kwa macho ya kawaida bila kutumia elimu unadhani nani anayekwepa kodi kati ya hawa watu wawili, mm nina ndugu yangu anafanya kazi MeTL unaambiwa zile mashine za kuhesabu products ili zikatwe kodi zilikuwa hazifanyi kazi miaka nenda rudi pale MeTL ya Vingunguti mpk alipoingia Magufuli ndiyo ikabidi zianze kufanya kazi.kwalipi lilikofanya kusema hili? Mimi sishangilii watu kwa ushabiki bali kwa balance yao! Labda kama Bakhresa anakwepa kodi!





Mwone huyu nae
, Hawa watu hawana maarifa .Nikisema Kenya ni Mavi mnasema nawatukana![]()
Kenya ni Mavi mkuu hata hawa Wakenya wa humu wanajua.Magumashi Republic
![]()
"Kenya is not portrayed well in the media. It is definitely the most developed country in East Africa and most of subsaharan Africa"
"I love Tanzania and Uganda but the infrastructure there cannot match Kenya's. Nairobi and Mombasa are more developed and modern than Cities in the other two countries. Paved roads everywhere".
Sio maneno yangu bali ya huyu mzungu. Si huwa mnasema mzungu hawezi danganya mkipost google images za kibera? 🤣 🤣
Hehehehe kama Tz kukiwa na utapiamlo basi Kenya kutakukuwa na kifo kabisa![]()