komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Mnafikiria kumfikia DSTV ni sawa na kula mihogo ya burigiSure, yaani hiyo siku Azam anapata huo chongo kwisha habari ya DSTV
Mnafikiria kumfikia DSTV ni sawa na kula mihogo ya burigiSure, yaani hiyo siku Azam anapata huo chongo kwisha habari ya DSTV
Povuwewe peleka upumbavu baada ya kupewa NMC factories zote na Mwinyi kwa ubini wa Uzanzibari na pamoja na Abood kupewa viwanda vya Morogoro unataka wepewe mbona usiseme BRT iingie DSE kila mtu aweze annunue shares hata mwenye Tshs 1 mln? Ukiwa na akili zilizozubaa bwana! kwako wewe Bakhresa Mungu sio?








initialy thought ni expressway,. kama hapa ndo dar.. baci hakuna cha ajabu tz mzima. ubungo ni less than a km na expressway ni continous till 30kms!
Nakwambia hivi, premier league ndio inayomlimit azam, halafu inaelekea unapenda sana mihogo weweMnafikiria kumfikia DSTV ni sawa na kula mihogo ya burigi
Bro, maneno ya mkenya ni kuyapuuzia. Ndio maana hatuhangaiki nae. Huyo dada alishatuma picha za hela akidai ni zake n then baadae ikapatikana source alipocopy, baada ya hapo akapotea now amerudi kama wanavyosema muda unaponyaKuna vitu vingine havimake sense kabisa. Kama hapo kwenye electricity connection. Dar peke yake ina watu 4 Mil lakini eti nchi nzima watu waliokua na umeme ni 2.7m. Mbona sielewi? ?
Huyu kioko ni yupi, maana kuna mse-nge moja wa huko kenya anaitwa kioko aliajiriwa Precision akaitia hasara na kufanya abiria waikimbie precision kwa kulazimisha bidhaa za kwao zitumike on boardMadam president apeleka kilio kwa Wakenya 😁😁.
Wazalishaji nafaka waanza kufeel maumivu ya 💉💉.
Hii hapa 👇
View attachment 1924713
View attachment 1924718
Plan ndio ilikua 6 lanes + 2 lanes za brt = 8 lanes ila kwakua hela walitoa wajapan, wakaleta makandarasi wao wakachelewesha mwisho wa siku tunaona 6 lanes ukijmuisha na brt. wametumia miaka 4 kujenga ilhali waliojenga sinza wametumia mwaka na nusuSix lanes kuanzia mwenge mpaka tegeta tusirudie makosa tuliofanya morogoro rodi saivi ile Barbara wanataka kuipanua tena kwasababu bado tatizo la foleni liko pale pale lakini sio kama zamani
Ubungo - kimara mwishoBarabara ipi hyo wanayotaka kuipanua tena.
Plan ilikua 8 lanes jumlaMm ninavyo jua ni 6 line pamoja na brt au siyo hivyo ?
Kama hii ndio chicago ya kichwani mwako basi amka faster usije hara kwa kitanda





😁😁 You funny my G. Atleast I'll use your phrase somewhere.Kama hii ndio chicago ya kichwani mwako basi amka faster usije hara kwa kitanda![]()
Hamtuuzi chochote kisichozalishwa Tanzania na Tanzania ina supply both commodities at higher quantities industrial and freshly, in fact hata Kenya inasafirisha fresh produces more than industrial.Nchi tajiri duniani huwa zina export vitu vya kuundwa na vya viwandani ..halafu nchi masikini ndio huwa zina export vitu vya shambani na natural resources kiasi yaani vitu visivyo hitaji fikra ya ndani au kisomo cha juu..fanya research ujionee. Because of this it shows how developed and educated kenya is among its peers. back to you in studio.
Sijamfuatilia mkuu 😀😀Huyu kioko ni yupi, maana kuna mse-nge moja wa huko kenya anaitwa kioko aliajiriwa Precision akaitia hasara na kufanya abiria waikimbie precision kwa kulazimisha bidhaa za kwao zitumike on board
unanitibuaga sijui ukoje? unaropoka ropoka tu? pigania fursa zipelekwe DSE! hata sie tusionazo tununue tunazoweza kama shares za million moja au kumi, tupate chance! Na si unaamka nakuanza kutapika ati BRT apewe Bakhresa! vp umeoa huko ama?Povu![]()
Kweli kabisa mkuu hapo umenifumbua machounanitibuaga sijui ukoje? unaropoka ropoka tu? pigania fursa zipelekwe DSE! hata sie tusionzo tununue tunazoweza kama shares za million moja au kumi, tupate chance! Na si unaamka nakuanza kutapika ati BRT apewe Bakhresa! vp umeoa huko ama?



