Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,666
- 107,105
Naona kama itapita Kigamboni kuelekea Mbagala maana kama itapita Kilwa road wajiandae na kulipa fidia!Hapo sawa kigamboni bado hakujajengwa sana, sasa huku temeke watu watasaga meno
Naona kama itapita Kigamboni kuelekea Mbagala maana kama itapita Kilwa road wajiandae na kulipa fidia!Hapo sawa kigamboni bado hakujajengwa sana, sasa huku temeke watu watasaga meno
Mbagala inapita mtoni inatokezea vingunguti inaunga ya city center
Hii Vingunguti inatakiwa ife kabisa, ktk sehemu ambazo zinatia aibu na kutuchoresha basi ni Vingunguti na Tandika.Eeh eeh kaz kweli kweli vingunguti huku viwandanii sipati picha
Bwahahaaa[emoji1787][emoji1787]Vifo vitokanavyo kwa njaa ni nembo ya taifa Kenya
Wameanza kususia battle au???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]