Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Kmmke mombasa ikapata tower tatu za blue, dar tupa kuleee👉👉👉💩💩
Tatizo sio kukusanya kodi ...ila huwezi kueleweka kwa kutetea kulimbikizia makodi mengi kwa wananchi mfano tozo za laini, wazo lake halikuwa baya na sidhani kama kungekuwa na viwango reasonable watu wangelalamikia, aya ukiangalia tozo za pango kukatwa kupitia umeme huoni ni wazi anae shambuliwa ni nani?...Je mwananchi huyu unategemea acheke ?Kulipa kodi ni wajibu mzee kwa ajili ya kuwa huru huwezi kutegemea wahisani ndumilakuwili kama IMF na WB kila siku, wahisani wenyewe wanatoza hizo kodi kwao kutupa mikopo! Ukiwabana sana wawekezaji unaongezaje ajira sasa? Na nani kakuambia matozo kwao yatatosha? Na unawezaje ku-compete katika kuvutia wawekezaji na kodi kubwa kwao? Mimi namshauri mama aache expenses zisizo na tija kubeba kundi wakati anazungumzia kujenga mahospitali na anatoza zaidi kodi si akili! Anapaswa aonekane akibana matumizi pia!
Vitu kama hivi ndio vinachangia sna tax deviationKulipa kodi ni wajibu mzee kwa ajili ya kuwa huru huwezi kutegemea wahisani ndumilakuwili kama IMF na WB kila siku, wahisani wenyewe wanatoza hizo kodi kwao kutupa mikopo! Ukiwabana sana wawekezaji unaongezaje ajira sasa? Na nani kakuambia matozo kwao yatatosha? Na unawezaje ku-compete katika kuvutia wawekezaji na kodi kubwa kwao? Mimi namshauri mama aache expenses zisizo na tija kubeba kundi wakati anazungumzia kujenga mahospitali na anatoza zaidi kodi si akili! Anapaswa aonekane akibana matumizi pia!
Sauti ya mpuzi...Sgr ni sgr mambo ya electrical tupa kuleeee![]()
Quality buildings
What about this shitholeThe best of Dar CBD in one photo.., thank you NDINDA.., nime "press" control S.



Ww ni kizuuu embubjaribu ujinga wako tuoneParklands>>>>>dar cbd. Kama unapinga niquote
Pale fool anajaribu kuplay smart
Tafuta CBD au k/koo apoKmmke mombasa ikapata tower tatu za blue, dar tupa kuleeeView attachment 1906515View attachment 1906516


unajua kufungua bakuli tuuuHuyu mama tumepigwa tukubali tukatae, tuna katiba mbovu mno, katiba ambayo akitokea mzalendo nchi inaneemeka ila akitokea borgus lazima kilio kisikike, kwa bahati mby wazalendo ni wachache na ndiyo maana na conclude kwamba tuna katiba mbovu duniani, katiba ya karne ya 20 inakwenda kuamua maisha ya kizazi cha karne ya 21.Tatizo sio kukusanya kodi ...ila huwezi kueleweka kwa kutetea kulimbikizia makodi mengi kwa wananchi mfano tozo za laini, wazo lake halikuwa baya na sidhani kama kungekuwa na viwango reasonable watu wangelalamikia, aya ukiangalia tozo za pango kukatwa kupitia umeme huoni ni wazi anae shambuliwa ni nani?...Je mwananchi huyu unategemea acheke ?
Hao hata wajenge nini lkn kitakaa ushagoo kutokana na nature pamoja na akili zao mbovu







