Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kmmke mombasa ikapata tower tatu za blue, dar tupa kuleee👉👉👉💩💩
2862587_1627571012153.jpeg
13914984_23634791586450721700_jpegd0d03b398ca990c47419054984bf2049-1.jpeg
 
Kulipa kodi ni wajibu mzee kwa ajili ya kuwa huru huwezi kutegemea wahisani ndumilakuwili kama IMF na WB kila siku, wahisani wenyewe wanatoza hizo kodi kwao kutupa mikopo! Ukiwabana sana wawekezaji unaongezaje ajira sasa? Na nani kakuambia matozo kwao yatatosha? Na unawezaje ku-compete katika kuvutia wawekezaji na kodi kubwa kwao? Mimi namshauri mama aache expenses zisizo na tija kubeba kundi wakati anazungumzia kujenga mahospitali na anatoza zaidi kodi si akili! Anapaswa aonekane akibana matumizi pia!
Tatizo sio kukusanya kodi ...ila huwezi kueleweka kwa kutetea kulimbikizia makodi mengi kwa wananchi mfano tozo za laini, wazo lake halikuwa baya na sidhani kama kungekuwa na viwango reasonable watu wangelalamikia, aya ukiangalia tozo za pango kukatwa kupitia umeme huoni ni wazi anae shambuliwa ni nani?...Je mwananchi huyu unategemea acheke ?
 
Kulipa kodi ni wajibu mzee kwa ajili ya kuwa huru huwezi kutegemea wahisani ndumilakuwili kama IMF na WB kila siku, wahisani wenyewe wanatoza hizo kodi kwao kutupa mikopo! Ukiwabana sana wawekezaji unaongezaje ajira sasa? Na nani kakuambia matozo kwao yatatosha? Na unawezaje ku-compete katika kuvutia wawekezaji na kodi kubwa kwao? Mimi namshauri mama aache expenses zisizo na tija kubeba kundi wakati anazungumzia kujenga mahospitali na anatoza zaidi kodi si akili! Anapaswa aonekane akibana matumizi pia!
Vitu kama hivi ndio vinachangia sna tax deviation
 
Tatizo sio kukusanya kodi ...ila huwezi kueleweka kwa kutetea kulimbikizia makodi mengi kwa wananchi mfano tozo za laini, wazo lake halikuwa baya na sidhani kama kungekuwa na viwango reasonable watu wangelalamikia, aya ukiangalia tozo za pango kukatwa kupitia umeme huoni ni wazi anae shambuliwa ni nani?...Je mwananchi huyu unategemea acheke ?
Huyu mama tumepigwa tukubali tukatae, tuna katiba mbovu mno, katiba ambayo akitokea mzalendo nchi inaneemeka ila akitokea borgus lazima kilio kisikike, kwa bahati mby wazalendo ni wachache na ndiyo maana na conclude kwamba tuna katiba mbovu duniani, katiba ya karne ya 20 inakwenda kuamua maisha ya kizazi cha karne ya 21.
 
Back
Top Bottom