Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Subiri uone hapo kunamichezo mingi sana mama na genge lake la wanafiki wameshindwa kutambua kushindana na gwajima kwa ili jambo ni kushindana na uma wa watanzania hapa sasa hivi chadema wataanza kucheka japo mimi siyo chadema mm nilikuwa ccm ya magufuli
Sukuma ndani kenge huyo,who is he in this Country? Atabinywa na atanywea,na wewe kamsaidie uone shughuli.
 
Mwendazake ndio nani?

Reli ya umeme na trains za nguvu, bwawa la Nyerere, machinjio ya kisasa, mahakama mpya, mahospitali, viwanja vya ndege, Meli kubwa maziwani unavyotamba navyo kwa kufungua threads isingekuwa hivyo kama sio Magufuli.

Mbona hivyo havikuwepo kipindi cha Kikwete, zaidi ya ufisadi wa safari na kucheka cheka?

Tanzania ingekuwa kwenye lockdown kama nchi zingine kama sio Magufuli unaemuita "Mwendazake".

Have some respect, brother.

If you can't respect him as a former head of state who served his country with distinction, it's fine, but at least have some decency and try to respect yourself by respecting those who love him.
Kwani lazima viwepo? We kenge kila kiongozi alikuwa na kipaombele chake kwa mfano elimu kuanzia sekondari hadi vyuo vikuu ilikuwa Sana enzi za JK,hapo ndipo tuliona shule za kata na UDOM.nk
 
Unasema Chanjo Hiari
Chanjo Ni Salama Ila Hutaki Mtu Ahoji hiyo chanjo!
Saivi mada ni Corona
Ukiamka Corona
Hakuna Jipya ni corona tu
Tanzania Imepatikana
Yani mm nashanga ....watu wamekuwa kama wamekula chang'aa
Na kwanini tulazimishane kama ninkitu kizuri...kwani sisi ndio hatupendi kujilinda na magonjwa?
 
  • Thanks
Reactions: nao
Unasema Chanjo Hiari
Chanjo Ni Salama Ila Hutaki Mtu Ahoji hiyo chanjo!
Saivi mada ni Corona
Ukiamka Corona
Hakuna Jipya ni corona tu
Tanzania Imepatikana
Huna haki wala uhuru wa kushawishi watu kubadili hiari zao kwa upotoshaji kwa kutumia mgongo wa dini na upuuzi kama huo.Sukuma ndani huyo pimbi gwajiboy
 
Kwaiyo apa nipo private...fool
Huku umejificha kwenye kamtandao hakuna umma Unapata taarifa zako wala hakuna anaekufahamu ,story zako zitaishia hapa hapa jf with zero impacts.

Kama una jeuri nenda hadharani kwa kutumia media rasmi uje uone 🔥🔥 .

Zama zaja chanjo ni lazima na hutokuwa na hiari utachanjwa tuu.Kwa sasa una hiari ya kuchanja au laa ila huna hiari ya kuambukiza wengine.
 
Makinikia yanatoka kama zamani ,baada ya kufa magufuli kikao kikafanyika ghafla ajenda ni kukwamisha viwanda vya kuchakata makinikia vilivyo kuwa vinajengwa nchini na ilo limefanyika
bro em kua serious ishu apa ni uvivu au makinikia?
kama n makinikia chetu tunapata kupitia twiga company
kuhusu kutoka nje hata magu hakuwahi kua na natizo isipokua mapato tuu

bro kilakitu kinachofanyika kwe madini na hata sheria ni magu alituachia
au nmekosea

smelter au gold refinery? haya nambie kiwandagani kinabaniwa?
 
Kwani lazima viwepo? We kenge kila kiongozi alikuwa na kipaombele chake kwa mfano elimu kuanzia sekondari hadi vyuo vikuu ilikuwa Sana enzi za JK,hapo ndipo tuliona shule za kata na UDOM.nk
We mpunga wa juha, huwa unasafir hata.? Kila kiongozi alikua na vipaumbele vyake ila mambo aliyofanya Magufuli ni exra ordinary, amefanya vitu vimkubwa mno, usije ukathubut hata siku moja kumdhihaki mbele ya wasomi .. kama huna hoja kaa kimya
 
Hio ndio interchange ya kenya standards 🤣🤣 is that interchange au overpass??


wakati dar ikisubiri msaada, syongila interchange, ukambaniView attachment 1820582
View attachment 1820579View attachment 1820580
Theres a reason we have ten times more interchange than tz, this is syongila deep in kitui😍😍😍
IMG_20210817_205350_539.jpg
 
Subiri uone hapo kunamichezo mingi sana mama na genge lake la wanafiki wameshindwa kutambua kushindana na gwajima kwa ili jambo ni kushindana na uma wa watanzania hapa sasa hivi chadema wataanza kucheka japo mimi siyo chadema mm nilikuwa ccm ya magufuli
Upumbavu wa Chadema na wao ni walewale, laiti wangekuwa na mrengo wa antivaxx wangetupata wengi!
 
Huku umejificha kwenye kamtandao hakuna umma Unapata taarifa zako wala hakuna anaekufahamu ,story zako zitaishia hapa hapa jf with zero impacts.

Kama una jeuri nenda hadharani kwa kutumia media rasmi uje uone .

Zama zaja chanjo ni lazima na hutokuwa na hiari utachanjwa tuu.Kwa sasa una hiari ya kuchanja au laa ila huna hiari ya kuambukiza wengine.
Yesu atakuwa amesha fika na kusibitisha....kwani ukichanjwa ndio hufi...nitole upuzi apa
 
Ni mroma, iwe Catholic ama Anglican, asili yao ni Roma, nyambaff, kwani unadhania hatujui kutofautisha architecture? ya mwarabu pia tunaijua, ikulu ni shrine ya mwarabu, aka msikiti, haibadiliki kubalini yaishe.
Kwani ikiwa ya muarabu inakuaje?

Mbona ninyi ikulu yenu sio shacks za scraps like slums ambazo ndio identity ya Kunyaland?

Mpo kwenye choo cha mkoloni miaka nenda miaka rudi, akili ya kunasuka hapo hamna ndio maana kunyata akilikua halali kwenye hicho choo anasema kuna mashetani muingereza kayaacha yanamkaba usiku 😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom