Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kijana wa Tandale si unasumbuka!! Nilisema mlete concentration kama hiyo nje ya cbd yenu. Kama unajua hauna jibu si unyamaze tu?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 magomeni yenyewe ina concentration kubwa sana kuliko huo ushuzi tatizo wewe dar bado inakunyima usingizi
 
Yani hadi Kitui iko na interchange, kitu ambayo bado ni ndoto hata kwa Mwanza! 😂 😂
Sisi tunajenga kutokana na mahitaji sio nyinyi munainhia kwenyw mikopo kueka overpass kwenyw sehemu hakuna uhitaji, mbaya zaidi overpass zenyewe sasa za kupanga tofali juu🤣🤣🤣🤣 nani aliwaroga nyinyi
 
What do you expect wakati a few meters kutoka pale picha ilipopigwa unakutana na huu uwanja wa dhambi
View attachment 1820697
View attachment 1820787
Moja ya hizo magorofa amepiga picha mara kumi ndio ile inaonekana in the background on the left kwenye picha ya kwanza
Mgoja tuamini kidogo 🤣🤣👇👇👇👇 hebu tufananishe na huu uharo tuone kwann mzungu hawezi kua mjinga
Sehemu ambayo over 70% watu wanairobi wanapishi ila hii husemi 😅😅😅
626DD351-7B73-4C6B-88F1-F2AADECBB2D9.jpeg
5F194544-AD67-451C-A209-78B9BC0FB5AE.jpeg
19B89636-459E-4BAD-9FF3-B3859C889C4E.jpeg
 

🤣🤣🤣🤣🤣🤣 magomeni yenyewe ina concentration kubwa sana kuliko huo ushuzi tatizo wewe dar bado inakunyima usingizi
Si utuonyeshe hiyo concentration ya Magomeni tuone. Mbona unabweka kwa unyonge kama mbwa asiye na meno?
 
Kenya is borrowing Peter to pay Paul

🤣🤣🤣🤣🤣 walirogwa na hayawani yani wamekopa weee wamejenga vi overpass vya kuoanga matofali juu kwenye sehemu hakuna uhitaji sasa hvi wanatoa cheche kwenye kipumulio
 
Sisi tunajenga kutokana na mahitaji sio nyinyi munainhia kwenyw mikopo kueka overpass kwenyw sehemu hakuna uhitaji, mbaya zaidi overpass zenyewe sasa za kupanga tofali juu🤣🤣🤣🤣 nani aliwaroga nyinyi
Excuses galore! Alokuambia sisi hatufanyi kulingana na mahitaji yetu ni nani? Wewe unaishi hapo Kitui unajua kwamba hiyo interchange haitajiki hapo? Yani wewe kila kitu ni sasa tu. So unataka kutuambia kwamba Mwanza ambayo ndio jiji lenu la pili kwa ukubwa halijakuwa na mahitaji ya interchanges?
 
Excuses galore! Alokuambia sisi hatufanyi kulingana na mahitaji yetu ni nani? Wewe unaishi hapo Kitui unajua kwamba hiyo interchange haitajiki hapo? Yani wewe kila kitu ni sasa tu. So unataka kutuambia kwamba Mwanza ambayo ndio jiji lenu la pili kwa ukubwa halijakuwa na mahitaji ya interchanges?
Nilishakwambia tanzania hujenga kitu kwa mahitaji sisi hatukurupuki ovyo 🤣🤣 ww unaeza nipa faida ya ile overpass imejengwa between njia ya kwenda eledoret na kericho?? 😄😄😄 nimepita hio barabara ndio nikagundua kwann mumefeli nyinyi
 
Excuses galore! Alokuambia sisi hatufanyi kulingana na mahitaji yetu ni nani? Wewe unaishi hapo Kitui unajua kwamba hiyo interchange haitajiki hapo? Yani wewe kila kitu ni sasa tu. So unataka kutuambia kwamba Mwanza ambayo ndio jiji lenu la pili kwa ukubwa halijakuwa na mahitaji ya interchanges?
Mwanza ni jiji, tena mwanza ni jiji kubwa na uzuri wa mwanza bara bara ni nyingi sana za mitaa ndio kinachofanya foleni isiwepo na pia over 90% ya street za mwanza zote paved roads na pili mwanza ina over 15km 4 ways from airport to CBD, na bado kuna barabara nyingi sana zinatanuliwa 🤣🤣🤣 toeni akili chafu kwamba ukiwa na ile overpass ya kupanga tofali juu basi ndio ushamaliza
 
Excuses galore! Alokuambia sisi hatufanyi kulingana na mahitaji yetu ni nani? Wewe unaishi hapo Kitui unajua kwamba hiyo interchange haitajiki hapo? Yani wewe kila kitu ni sasa tu. So unataka kutuambia kwamba Mwanza ambayo ndio jiji lenu la pili kwa ukubwa halijakuwa na mahitaji ya interchanges?
Hebu nikuulize swali ile old design flyover ambayo iko pale kondole kisumu hupitisha gari ngap kwa siku?? Just be frank🤣🤣🤣 yani nilicheka sana
 
Excuses galore! Alokuambia sisi hatufanyi kulingana na mahitaji yetu ni nani? Wewe unaishi hapo Kitui unajua kwamba hiyo interchange haitajiki hapo? Yani wewe kila kitu ni sasa tu. So unataka kutuambia kwamba Mwanza ambayo ndio jiji lenu la pili kwa ukubwa halijakuwa na mahitaji ya interchanges?
Mwanza haina uhitaji wa internchanges mzee
 
Back
Top Bottom