Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lakini usisahau tanzania haitegemei kitu kimoja kama source of income kuna mazao mengi sana ambazo zinaingiza pesa nyingi kwa serekali na pia kuna utalii na bandari etc

Yah Hapo ndio naipa tz nafasi kwamba in the next 5 years kuna watu watatuskia kwenye bomba tuu maanake we have not even halfley exploited our mining sector ata robo ukiachilia mbali kilimo, sasa tunaweka miundombinu sawa
 
Mm siidharua tz hata kidogo mzee nilichokuwa nataka kuumanisha ni kwamba Ghana wanamauzo mazuri ya dhahabu na kokoa na ndiyo their main source of government revenue kwaiyo huwezi kuibeza kiivyo we just imagine sisi tz revenue ya dhahabu imefika 3.3 b na sisi ni wanne Africa what about Ghana ambayo ndiyo ya Kwanzaa
Hizo biashara za dhahabu na madini zinawenyewe na wenyewe siyo waafrica usijidanganye nazo ,ndiyo maana serikali ya urusi iliwai kusema kuwa africa haitakuja kuendelea hadi maliasili zetu zitakapo isha,tena ungejifunza kwa tz namna magu alivyo pambana kuhusu madini yetu ndiyo ungejua ,GHANA NA NIGERIA HAKUNA KITU ASIKUDANGANYE MTU ,
 
Hizo biashara za dhahabu na madini zinawenyewe na wenyewe siyo waafrica usijidanganye nazo ,ndiyo maana serikali ya urusi iliwai kusema kuwa africa haitakuja kuendelea hadi maliasili zetu zitakapo isha,tena ungejifunza kwa tz namna magu alivyo pambana kuhusu madini yetu ndiyo ungejua ,GHANA NA NIGERIA HAKUNA KITU ASIKUDANGANYE MTU ,

Yah ofcoz ila kwa tz saivi tuna mwelekeo mzuri labda maza alegeze na itkadi zake za kumbembeleza mwekezajii
 
Ushasema ijakamilika sasa ngoja ikamilike ndio uje ukosoe

Eeh na zile foleni foleni pale ubungo na tazara na kingine upanuzi wa bandari bado hujaona manufaa yoyote twende taratibu
Kubisahana na mtu ambaye ameshaathirika kisaikolojia ni kupoteza muda tu. Huyo anahitaji psychotherapy ili akae sawa maana naona kama dishi limeskew kidogo!
 
  • Thanks
Reactions: nao
Ukisoma hayo maelezo ya IMF ni porojo tuu lakini hakuna risk yoyote kubwa kwenye uchumi.Kukopa hakujawahi kuwa tatizo ikiwa tuu hukopi kwa ajili ya recurent expenditure.Pili kama nchi inauwezo wa ku service debt pia sio shida.

Nyie wenzetu mlisoma political economy ndio maana mnahangaika sana mkiona debt to gdb ratio ni kubwa,sasa kwa taarifa yenu dept sio shida kwa nchi na nchi i aweza kuwa na madeni zaidi ya gdp yake.Kwenye uchumi Dept inaweza kuwa shida kwenye nchi ambazo ziko assumed kwamba their resources are fully employed au zile ambazo zinztegemea sekta moja au mbili tuu kwenye uchumi lakini sio kwenye developing Nations kama zetu ambako tuna resources nyingi za kukabiliana na madeni,fursa ya kukuza uchumi ni kubwa zaidi across sectors.

Natoa wito kwa serikali ya SSH ikope pesa za kuzidi ili tugharamie miundombinu nk afu washushe kodi na pesa zimwagike mtaani tukuze purchasing power ya watu na mwisho wa siku tu drive production,kiufupi serikali itengeneze demand ili demand ichochee production.
Alafu ww uwache kuongea ujinga....debt lazima liangaliwe likisha zidi uwezo basi inakuwa janga ..ulisoma uchumi wa wapi ww mwongomwongo.....ulisikia wapi kisa tu umetumia debt kuwekeza kwenye miradi manake uko sahihi? Ndio mana kuna kitu kinaitwa tembo mweupe
 
JPM impacts 😀 😀 😀 😀 Hata Hujui kwamba siku 100 zinamaanisha robo na assessment za Uchumi zinafanyika kwa qourterly.Mtu wenu alifeli sana kwenye uchumi.

Si uliona hapa wewe kwamba ndani ya siku Tzn ilipata urari chanya kwenye mauzo ya nje against Kenya,ikateka soko la Uganda,tuka expotrs nafaka mara 6 zaidi,migogoro ya kijinga na Kenya na Rwanda ikaisha nk nk sasa sijui unaongea nini.

Nilikuwaga namzarau sana yule mtu wenu kutoka kijijini huko yaani akigombana na wenzie kwa vitu vidogo basi anavyovimba ndita na kujitutumua wajinga wanashangilia biashara na uchumi vinaanguka,utasikia vita ya kiuchumi 😀😀😀
Ww ni mpuzi ...ivi unazungumziaje robo ya uchumi wakati akuna hata kitu amefanya zaidi ya kuzika mwenda zake na kuzunguka....alfu useme uchumi umekuwa....
Iyo export imeongezek syo tu kwa jili ya bibi yenu watu wameangaika mwenye viwanda importation imepungua snaa
 
Back
Top Bottom