Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Si mlisema mna watumizi wa internet wengi kuliko Kenya juu Diamond ako na views nyingi, sasa mbona Diamond mwenyewe naona views zake most ni za Kenya. 🤣 🤣 🤣
Tz kuna aina nyingi za miziki, Diamond siyo msanii pekee anayependwa... kuna wengine wanapenda kusikiliza mchiriku tuu (Singeli) wala hawana habari na miziki ya kizazi kipya.
 
Hii yenu pambanisha na majengo ya halmashauri ndogondogo za TZ
View attachment 1893833

View attachment 1893834
Size yake hio turkana👇👇
images (9).jpeg
 
Nataka hiyo misaada ya Kenya,weka ushahidi nikuchambulie.

Pili ni kweli LDC ana fursa ya misaada yenye masharti nafuu zaidi na kubebwa ila tuu anakuwa anaamliwa cha kufanya au kushauriwa na waliokupa hiyo misaada tofauti na asiye LDC.
Chief sina huo muda ila endelea kuchungulia uzi majibu utayapata taratibu
 
Nakupa warning usirudie kunikot, tafadhali sn kwasababu mm nakuona wewe kama zuzu hueleweki kama popo mara una mabawa wakati huohuo una manyonyo.
Ndo elewa hivyo hivyo ukiandika upumbavu nitakukoti kama kawaida unfortunately huna cha kunifanya kama ambavyo mlishindwa cha kunifanya toka enzi napambana na mume wenu.

Huo upumbavu wako uliuanza kuusema siku nyingi Sana na hakuna ulichofanya wewe na wafuasi wako mara ulilie mods mara ulilie wa kukuunga mkono na mikwara mingi ya wavaa sketi.

Nasisitiza sijabadili ku refute miradi ya kipumbavu iliyoanzishwa na mume wenu na sera mbovu za Uchumi wa kijamaa ndio maana kwa sasa zimepewa kidogo.
 
Ndo elewa hivyo hivyo ukiandika upumbavu nitakukoti kama kawaida unfortunately huna cha kunifanya kama ambavyo mlishindwa cha kunifanya toka enzi napambana na mume wenu.

Huo upumbavu wako uliuanza kuusema siku nyingi Sana na hakuna ulichofanya wewe na wafuasi wako mara ulilie mods mara ulilie wa kukuunga mkono na mikwara mingi ya wavaa sketi.

Nasisitiza sijabadili ku refute miradi ya kipumbavu iliyoanzishwa na mume wenu na sera mbovu za Uchumi wa kijamaa ndio maana kwa sasa zimepewa kidogo.
Don't bother, wacha nikuache tu nisikupe air time cz wewe ni mbwa kama mbwa wengine tu.
 
Ikulu to infinity inachoma watu juu wao wanachoo cha mkoloni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums-560244272.jpg
 
Tz kuna aina nyingi za miziki, Diamond siyo msanii pekee anayependwa... kuna wengine wanapenda kusikiliza mchiriku tuu (Singeli) wala hawana habari na miziki ya kizazi kipya.
😀 Bongo kuna wasanii wengi + competition ya Diamond na AliKiba baadhi ya mashabiki kujiepusha kumuongezea views rival
Mbona hamkusema hivo wakati mlikuwa mnatumia views zake kusema mna internet penetration nyingi kuliko Kenya?
 
Back
Top Bottom