Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,905
- 9,730
The anus of africa😂😂😂
😂😂Kweli TZ Ni Mefi kotekoteThis is magomeni, a posh estate in an african city😂😂😂View attachment 1893673
Madhara ya ujenzi wa jua kali ndio haya hapa, nchi ya wapumbavu sn hii[emoji116][emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1893145View attachment 1893146
Many of tanzanians think they are arabs. Mfano angalia bongo movies ama nyimbo utaona kila harusi ikona arab theme.Oman,kiujumla kitendo cha kushindwa kubuni majengo ya ikulu kwa utamaduni wetu kama terminal ya sgr Dar na ku kopi ikulu ya waarabu ya magogoni ni upuuzi wa Hali ya Juu.
Watu wengi walikwazika ila ndio hivyo tena kauli ya Rais bongo ni sheria na amri,kwa kuwa tunajenga Mji mkuu hapa ndio ilikuwa fursa ya kuonesha umahiri wetu wa sanaa za ubunifu majengo na ujenzi wenyewe.
So, kumbe ldc hawapewi misaada sio, mimi naonelea kwamba misaada inatokana na majanga sio swala la uldc wala middle income. Mfano ni Kenya inapewaga misaada kuliko nchi yoyote hapa EA tena inapewa misaada kuliko Uganda ambayo ipo ldcHakuna msaada hapo ,ni mkopo..Magu aliwahi semaga nchi za Afrika ziungane kwa pamoja kutafuta huo msaada na kuondolewa baadhi ya masharti ikashindikana.
Msaada ni chanjo tuu via covax , kwenye pesa hulazimishwi unajipeleka mwenyewe.Kenya washavuta hizo pesa kama mara 2 na wanasaka ya 3 ..
Ukitaka pesa fuata masharti,msaada hakuna Babu yako wb/imf
Haya niambie ni natural calamity ipi ilitokea hapo kwenu nipe na evidence [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]you are truly retarded [emoji23][emoji23][emoji23]
i guess The Americans and japanese are also wajinga because their infrastructure was destroyed because of natural phenomena [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1893776
View attachment 1893777
You are wasting your timeyou are truly retarded 😂😂😂
i guess The Americans and japanese are also wajinga because their infrastructure was destroyed because of natural phenomena 😂😂😂View attachment 1893776
View attachment 1893777
Tafuta picha yenye uchafu kama huu Dar zen nitag nifunge accnt sasa hivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1893765View attachment 1893766View attachment 1893767
The Kenyan one you can feel the government power,The zezeta one you can feel the Taliban🙈walai Tena Tanzania wote Sasa Ni Taliban mpaka ikulu Yao imejengwa kitaliban styli😂😂😂😂Machakos state house compared to a certain shithole😂😂View attachment 1893709View attachment 1893710
Tangu uzi unaanzishwa picha ni hizi tu za 90s na zingine za Ghana mkidai Tz wkt cc tunaweka picha za 2021[emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Taliban and Alkaida house🙌😂😂😂😂Wakati kuna nchi bado inahangaika na choo cha mkoloni, Tz imejenga Ikulu nyingine kubwa kuliko ya mkoloni tena kwa fedha za ndani na mafundi wakiwa watanzania wenyewe [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1893697View attachment 1893698View attachment 1893699
Msaada wa majanga kwa hali gani Tete ambayo nchi za Afrika zilifikia kutokana na covid 19?So, kumbe ldc hawapewi misaada sio, mimi naonelea kwamba misaada inatokana na majanga sio swala la uldc wala middle income. Mfano ni Kenya inapewaga misaada kuliko nchi yoyote hapa EA tena inapewa misaada kuliko Uganda ambayo ipo ldc