Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

FINALLY SUB 10💥🌟💪👍🤩 CONGRATULATION OMANYALA!View attachment 1892290View attachment 1892291View attachment 1892293
Moto fire byad man! 🤣 🤣 🤣 🤣 🇰🇪
Screenshot_20210814_211755.jpg

Screenshot_20210814_211737.jpg
 
Naona basha lishafanya yake usiku ndio manake umeamka na ulegevu hvo[emoji1787][emoji1787]
Wewe huwa unawaza kukalia tu 24/7, btw huwa napenda wanawake mal.ay km wewe mana mtu unaenjoy sn [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna mbwa bila aibu eti anasema Kenya ndio inawaka zaidi kwenye hii map, ebu tuangalie wakuu [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums-212904197.jpg
 
hio habari kwenye headline ndo itakuwa endelevu.. hawatatuzidi tena hao wapuuzi.. it’s like 160km/h [emoji1241] vs 120km/h [emoji1139] speed..
View attachment 1889199
Na mbona hizi siku zote mmekuwa mkisema tunawategemea. Hivi leo tu ndio mmekubali mmekuwa mkinunua kwetu kuliko tunavyonunua kwenu? I love your selective agreement to statistics. 🤣 🤣 🤣
 
Hiyo ndio number ya gari la mwisho we nyumbu, unataka kusema ni number ya nini hiyo?
If that is the case then in means by 2016, Tanzania had registered a total of 2.1M vehicles. Of those 2.1 unadhani ni ngapi zitakuwa still in circulation considering the first vehicle was registered in 1962? Yaani hiyo figure ni aibu tupu maanake ni kama unatuambia Tanzania magari yake hayafiki hata 500k.
 
Back
Top Bottom