Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

dont stare too much you may go blind😍😍😍
Screenshot_20210811-184345.png
Screenshot_20210811-184339.png
 
Habari imewaumiza sana kwa sasa over 75% mizigo ya rwanda inapita dar tuliebakiza ni mmoja tu uganda yani huyo yukimshika basi kenya imeisha kabisa 😆😆😆😆
Ebu tuwekee volume ya dar port tucheke😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Oya Tony254 komora096 Don YF .. tuliwaambia tulishawapita karibu kwenye kila kitu, tunamaanisha hivi

Kuna mdau kasema hii meli ilishusha gari 400 tu Kenya lakini Tanzania imeshusha gari 3740 na katika hizo gari zaidi ya 1000 ni za Tanzania huku nyingine ni transit

Kenya wao hizo 400 ni za Kenya, Uganda, Sudan halafu bado tunatafuta nchi superpower ukanda huu!
 
Kuna mdau kasema hii meli ilishusha gari 400 tu Kenya lakini Tanzania imeshusha gari 3740 na katika hizo gari zaidi ya 1000 ni za Tanzania huku nyingine ni transit

Kenya wao hizo 400 ni za Kenya, Uganda, Sudan halafu bado tunatafuta nchi superpower ukanda huu!
Alooo,, katika kila watu elfu moja bongo kuna magari 20😂😂😂
IMG_20210811_191954_665.jpg
 
Ushuzi wa bata, nilidhani ni biggest ship kumbe ni ya magari😂😂😂😂 niquote ile siku dar port itafikia nusu ya mombasa.
Mnaagiza bidhaa za dollars billion 17 wakati sisi tunaagiza dollars billion 11

Mna trade deficiency ya dollar billion 12 Tanzania deficit yetu ni dollar billion 5

So wacha mombasa iendelee kupokea tu zaidi since hamuwezi kujitosheleza.
 
Back
Top Bottom