Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,701
- 107,136
Amka upesi usije ukajinyea ndoto mbaya hiyo.Hawa watu hushangaza Sana[emoji706]wacha Ile siku Tutaanza kuutilize Jangwa yetu na kufanya canal irrigation,watakipata watajua watauzia Nani,Bado mambo Tuko under trainning na Israel na Egypt,once we catch-up Tutakuwa the leading producer of Food crops and cash crops in Africa,Just wait[emoji1139][emoji109][emoji91][emoji91]
Waoooo, habari nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa hiii, watanzania tunaweza, very beautiful president house tulioijenga kwa fedha na mikono yetu wenyewe, this is what a super power can do[emoji7][emoji7][emoji7]Update: Ikulu Chamwino
![]()
![]()
![]()
![]()
MY TAKE
Kuna mafalamanga hujaribu kujilinganisha na Tanzania, yaani na fedha Tshs 300 bln taslim (si mkopo) za Mji wa serikali na wizara 23 imetolewa! I don't know what u mafalamanga smoke!
Dongo jekundu au [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]You'll never see such in Tanzania, Ever!
Unajiaibisha mama, Kenya taa zinawaka only Nairobi, Tz taa zinawaka nchi nzima au huoni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]once again i concur with NASA. since its very accurate View attachment 1891466hivi mataa zimerundika
Hebu toa uchafu hapaa.Msa(001) kunawaka moto kila kukicha! [emoji116] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
View attachment 1892421
View attachment 1892422
View attachment 1892423
View attachment 1892424
View attachment 1892425
View attachment 1892426
View attachment 1892428
View attachment 1892429
View attachment 1892431
View attachment 1892432
View attachment 1892434
View attachment 1892436
View attachment 1892437
View attachment 1892438
View attachment 1892439
Hadi mitaani dadeq [emoji108]
ka tuna host hadi WRC, tunatawala Olympics, sahivi tu host 2021World-Under20 Athletics Championships, major african headquaters like UN, WorldBank, IMF, Toyota, Coca-cola are all based in nairobi, former President Obama ni mtoto wetu. ie. atleast we are featured somewhere in the world arena platform.. mtatuambia nn ss nyinyi vilaza?..sema tu sahizi tz naona mnajaribu sana kutia bidii tangia enzi ya maguful, ila tu bado, bado, kenya iko ligi yake mazee, hamjai ifikia bado
Waooo, another project I waited for its progress, wakunya msije kusema hatujawaambia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Update: JNHPP
![]()
▲ Casting the last section between L4 and R4
![]()
![]()
source
MY TAKE
Siku Wakunya wana mega project kama hii hatutalala humu ndani!
Taratibu umeanza kujitambua eehh, nilikuambia umekuja moto ila tutakutia adabu, ss fanya kahadithie wakunya wenzako ulichokikuta humu [emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sema tu sahizi tz naona mnajaribu sana kutia bidii tangia enzi ya maguful, ila tu bado, bado, kenya iko ligi yake mazee, hamjai ifikia bado
Hiyo ndiyo development according to your teacher [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ka tuna host hadi WRC, tunatawala Olympics, sahivi tu host 2021World-Under 20 Athletics Championships,. ie. we are featured in the world arena platform.. mtatuambia nn ss nyinyi vilaza?..
ata nenda sahizi new york ama london ama tokyo, uwaulize dar-es-salaam iko wapi na nairobi iko wapi,ka tuna host hadi WRC, tunatawala Olympics, sahivi tu host 2021World-Under 20 Athletics Championships,. ie. we are featured in the world arena platform.. mtatuambia nn ss nyinyi vilaza?..
mimi si geni humu, nimekuwepo jf tangia kitambo sana (2013) ila tu nilibadilisha ID na address na ku re-subscribe tena. mm sio geniTaratibu umeanza kujitambua eehh, nilikuambia umekuja moto ila tutakutia adabu, ss fanya kahadithie wakunya wenzako ulichokikuta humu [emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona kitu kidogo hiki..! Ikulu tu umekuwa superpower? Nadhani kukamilisha jiji la Dodoma kuwa na airport, ring road, sport complexes (footbal stadium, aqua arena, basketball arena), theaters, indoors concert arena, conference center, museums, commutter rail network e.t.c.Waoooo, habari nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa hiii, watanzania tunaweza, very beautiful president house tulioijenga kwa fedha na mikono yetu wenyewe, this is what a super power can do[emoji7][emoji7][emoji7]View attachment 1892646View attachment 1892647View attachment 1892648
Hii thread imeanza 2017.mimi si geni humu, nilikua humu tangia kitambo sana (2013) ila tu nilibadilisha ID na address na ku re-subscribe tena. mm sio geni
mazuzu nyinyi,. another Nkandla home loading kisha mwaisifu. wajinga nyinyi..Waoooo, habari nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa hiii, watanzania tunaweza, very beautiful president house tulioijenga kwa fedha na mikono yetu wenyewe, this is what a super power can do[emoji7][emoji7][emoji7]View attachment 1892646View attachment 1892647View attachment 1892648
safi sana kujua leo nairobi inafika hadi lake victoria na mt elgon.. hivi sikuwai jua nairobi ni kubwa ivoUnajiaibisha mama, Kenya taa zinawaka only Nairobi, Tz taa zinawaka nchi nzima au huoni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
namaanisha JF kwa ujumla. nugu weweHii thread imeanza 2017.
kwani unataka iwake wapi? northern and easten parts are mostly arid and semi aridUnajiaibisha mama, Kenya taa zinawaka only Nairobi, Tz taa zinawaka nchi nzima au huoni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]