Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screen-Shot-2021-08-07-at-9.46.52-AM-875x500.png

  • Aug 07, 2021

Museveni Afokea Raila​

Na LEONARD ONYANGO
CHAMA tawala nchini Uganda, National Resistance Movement (NRM), kinachoongozwa na Rais Yoweri Museveni kimeshutumu vikali ODM chini ya Raila Odinga kwa kudai kuwa kinalenga kushirikiana na Naibu wa Rais William Ruto kuzua machafuko humu nchini.


Katibu Mkuu wa NRM Richard Todwong jana alisema kuwa Rais Museveni hana nia ya kuingilia uchaguzi wa Kenya kumwezesha Dkt Ruto kumrithi Rais Uhuru Kenyatta 2022.

Kupitia barua yake, Bw Todwong alionekana kumshambulia mkurugenzi wa mbunge wa Suna Junet Mohamed licha ya taarifa ya kukashifu NRM Jumatano ilitolewa na wabunge kadhaa wa ODM.

“Ninakuandikia kuhusiana na kauli chafu ambayo wewe pamoja na wenzako mlitoa kuhusiana na chama cha NRM na kumkosea heshima Rais Museveni.

“Matamshi hayo labda yalitokana na tofauti zenu za kisiasa nchini Kenya. Tunaamini kuwa kauli yenu sio msimamo wa chama cha ODM,” akasema Bw Bw Todwong.

Jumatatu, Naibu wa Rais Ruto alizuiliwa kusafiri kuelekea nchini Uganda kutokana na kigezo kwamba hakupata idhini kutoka kwa Rais Kenyatta.

Baadaye, mbunge wa Kapseret Oscar Sudi alikiri kuwa Dkt Ruto analenga kujumuisha washauri wa siasa wa Rais Museveni katika kikosi chake cha kampeni anapojiandaa kuwania urais 2022.

Bw Sudi aliambia Taifa Leo kuwa walienda Uganda kujifunza kutoka kwa chama NRM ambacho kimekuwa mamlakani kwa miaka 35 chini ya Rais Museveni.

Kundi la wabunge wa ODM, Jumatano, walishutumu Dkt Ruto kwa kukiri kuwa na uhusiano wa karibu na chama cha NRM.

Wakiongozwa na mwenyekiti wa ODM John Mbadi na Bw Mohamed amabaye pia ni mkurugenzi wa uchaguzi wa chama hicho, wabunge hao walidai Dkt Ruto anapanga kutumia NRM kusababisha machafuko nchini endapo atapoteza katika uchaguzi wa urais 2022.

Wabunge hao pia walidai kuwa urafiki kati ya Dkt Ruto na Rais wa Uganda Yoweri Museveni unalenga kumsaidia Naibu huyo wa Rais kutumia mbinu ‘chafu’ kuingia mamlakani.

“Tunafahamu fika jinsi huyo rafiki wake aliingia mamlakani na namna ambavyo amehujumu demokrasia na haki za kibinamu nchini Uganda akiwa mamlakani kwa zaidi ya miongoni mitatu. Ruto anataka kuleta udikteta kama huo nchini Kenya,’” Bw Junet akasema, akisoma taarifa kwa niaba ya wenzake 10 katika majengo ya bunge, Nairobi.

Kauli hiyo ilionekana kukera viongozi wa NRM ambao jana walisema kuwa chama hicho kimekuwa na rekodi njema katika haki za kibinadamu.
“Mnasema kwamba chama cha NRM hakifai kuigwa, je, nadhani mnakumbuka ni nini kilisababisha ghasia za baada ya uchaguzi wa 2007/2008 ambapo watu zaidi ya watu 1,000 walifariki ndani ya siku chache.

“NRM imeweza kuongoza Uganda kwa miaka 35 kwa sababu ya kuendeleza haki za kibinadamu na kupigania amani,” akasema Bw Todwong.
Katibu Mkuu wa NRM alipuuzilia mbali madai kwamba nchini Uganda hakuna demokrasia huku akisema kuwa kila kijiji nchini kinaongozwa na viongozi waliochaguliwa na wananchi kupitia vyama mbalimbali.

“Rais wetu mliyemtusi amechaguliwa na raia wa Uganda kwa njia ya kidemokrasia kutokana na maono yake,” akasema.

Bw Todwong alisema kuwa Uganda ina vituo vya redio 300 na runinga 50 ‘hivyo madai kwamba nchini Uganda hakuna uhuru wa vyombo vya habari hazina mashiko’.

Alisema kuwa tofauti na Kenya, Uganda haingozwi na siasa za ukabila bali wameungana.

“Ripoti ya hivi karibuni ilionyesha kwamba Uganda ndilo taifa lenye watu wenye furaha zaidi katika ukanda huu. Hiyo ndiyo maana wakimbizi, wakiwemo raia wa Kenya wanakimbilia nchini Uganda,” akadai.

Kiongozi wa ODM Bw Odinga na Rais Museveni wamekuwa na tofauti kwa muda mrefu.

 
but they can use them kuibua watu wenye kipaji za kukimbia.. kuna mtu anajua kukimbia lkn hana hela/kazi.. so huko ni kuleta ajira.. so just doing for fun bila kuleta ajira kwa vijana especially wenye hivyo vipaji?
Vipaji vinatafutwa mapema, kutoka mashuleni huko sio hizi mbio za wapunguza vitambi.
 
Sour grapes.

Je, Nawe umeenda Japan nchi ya ulimwengu wa kwanza kukimbia na kuuza sura yako ngumu kama goti la mamba [emoji3]?
The only thing I am interested in these Events is how theseJapanese are rich to the extend of building such facilities for the Olympic Games in a span of few years, and how they turned the tables to achieve such development milestones, and how they work hard like termites despite being world’s fourth Largest Economy.
Huku Kenya all we can do is building this ugly things and call it international super stadium
IMG_0231.jpg



Hongera for those Kalenjin individuals for their individual achievements.
 
Je, Nawe umeenda Japan nchi ya ulimwengu wa kwanza kukimbia na kuuza sura yako ngumu kama goti la mamba [emoji3]?
The only thing I am interested in these Events is how theseJapanese are rich to the extend of building such facilities for the Olympic Games in a span of few years, and how they turned the tables to achieve such development milestones, and how they work hard like termites despite being world’s fourth Largest Economy.
Huku Kenya all we can do is building this ugly things and call it international super stadium View attachment 1884957


Hongera for those Kalenjin individuals for their individual achievements.

Goti La Mamba [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
 
Je, Nawe umeenda Japan nchi ya ulimwengu wa kwanza kukimbia na kuuza sura yako ngumu kama goti la mamba [emoji3]?
The only thing I am interested in these Events is how theseJapanese are rich to the extend of building such facilities for the Olympic Games in a span of few years, and how they turned the tables to achieve such development milestones, and how they work hard like termites despite being world’s fourth Largest Economy.
Huku Kenya all we can do is building this ugly things and call it international super stadium View attachment 1884957


Hongera for those Kalenjin individuals for their individual achievements.
Atleast we host international events even if not the level of Olympics
FB_IMG_16282656121362172.jpeg
FB_IMG_16282656043433915.jpeg
FB_IMG_16282655841082694.jpeg


What about you??what have you ever hosted beyond east africa school games and cecafa [emoji23][emoji23]
 
Je, Nawe umeenda Japan nchi ya ulimwengu wa kwanza kukimbia na kuuza sura yako ngumu kama goti la mamba [emoji3]?
The only thing I am interested in these Events is how theseJapanese are rich to the extend of building such facilities for the Olympic Games in a span of few years, and how they turned the tables to achieve such development milestones, and how they work hard like termites despite being world’s fourth Largest Economy.
Huku Kenya all we can do is building this ugly things and call it international super stadium View attachment 1884957


Hongera for those Kalenjin individuals for their individual achievements.
🤣🤣🤣 Yaani unaandika hii essay yote juu ya wivu? Jealousy will kill you brother.
 
Je, Nawe umeenda Japan nchi ya ulimwengu wa kwanza kukimbia na kuuza sura yako ngumu kama goti la mamba [emoji3]?
The only thing I am interested in these Events is how theseJapanese are rich to the extend of building such facilities for the Olympic Games in a span of few years, and how they turned the tables to achieve such development milestones, and how they work hard like termites despite being world’s fourth Largest Economy.
Huku Kenya all we can do is building this ugly things and call it international super stadium View attachment 1884957


Hongera for those Kalenjin individuals for their individual achievements.
limuru stadia 👇
limuru2.jpg
limuru1.jpg


meru stadia 👇
meru4.jpg
meru1.jpg
 
alafu kuna mbongo ame tu fix majina hapa. haya sio maneno yangu dyfre, wala hii post haijatoka kwa Frankenstein. mi siwezi sema maneno kama haya! this is a Scam!
2021_08_08_12.45.02.jpg
 
Back
Top Bottom