Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mafuta ya kula wanaagiza toka nje kwa 100% Tanzania ni 40%

Mafuta mazito ya kuzalisha umeme wanaagiza by 100%, Tanzania tunatumia gas yetu

Chakula kutoka nje wanaagiza by 75%, Tanzania tunajitosheleza kwa chakula

Mzigo wa Mombasa 90% unabaki Kenya

Mzigo wa Dar 50% unabaki Tanzania

Bado anategemea bandari ya mombasa iwe sawa na Dar !
Halafu huwezi amini uagizaji wa mafuta ya kupikia na sukari in the next 3 years utakuwa historia!
 
Danganyikans are the most stupid nation in the world. Primitive na wanapenda uchawi kama the FOOL who died akiitisha chanjo Madagascar.
Wajinga sana wadanganyika
Screenshot_20210812-050516.jpg


JamiiForums mobile app
 
What does this mean wadau? Sielewi is it a good thing or a bad thing?
It is good for Tz and Bad for Kenya... But overall the situation is not so bad as usually inatokea
....cause nyie mna import bidhaa nying kutoka kwetu ..kuliko mnavyo export ..creating a trade deficit kwenu ya 9.3 million usd ..na vice versa a trade surplus kwetu..siku zote anayeimport sana anapeleka USD nying kwa mwenzake..cause USD ndo hutumika sana kwenye cross border trade ...
 
Lamu tayari imefanyia Zanzibar port transhipment. Kwani huna habari?
Kumbe Lamu level zake ni Zanzibar? 😅😅😅

Na ilifanya transhipment au ni meli (local mashua) ilitoka Zanzibar kisha ikapitia Lamu baada ya kuishia Somalia?

Walichukua containers ngapi?
Kwa taarifa yako mzigo wenye mshiko kwenye bandari ni ule unaoingia sio unaotoka, Lamu bado ni white elephant na halitabadilika hilo ndani ya karne hii!
 
sasa unataka umtafute mtu ambaye anaijua nairobi karibia nzima ,unataka umtembeze mtu ambaye anajua chochoro zote za nairobi,,[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji1787][emoji1787]
tafuta kazi ya kufanya kama huna kazi kachukue ndugu zako walio villages ambao hawajawahi kufika nairobi ndiyo uwatembeze
Kwanza kanairobi kenyewe ukifazama tu unajua wapi ni wapi upo wapi hata kama mtu akikufumba macho na kukutembeza cbd unajua upo wapi
 

The newPROPOSED Kenyan police housing units model
Ground breaking already happened in several areas here is cs matiangi taking part
20210812_082643.jpg
 
Back
Top Bottom