Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Oyaa Acha blabla nyingi ukipata DSM au Tanzania nzima kuna Hali Kama hii unitag😀
Hii ndo poverty 👇👇👇👇👇👇View attachment 1887982
Noma sana mkuu, watu wapo dunia tofauti ndani ya eneo moja. angalia waliotoka nyumbani pamoja na kuwa wametembea kwenye vumbi miguu bado misafi, na wamezingatia mambo ya afya, mwangalie aliye kwenye dunia yake anapiga kiburudisho sijui ni petrol hiyo au Energy drink, na sijui waliwahi jimwagia maji lini, kuna jamaa kulia ana layer mbili zinaonekana na nadhani ni baridi lakini hizo laye sidhani kama ziliwahi kutana na maji. Hiyo location setting yenyewe tu pamoja na vumbi, kutakua na kauvundo cha hilo pile la takataka hapo ni noma.
Nchi yetu kila moja na urefu wa kamba yake.
 
Noma sana mkuu, watu wapo dunia tofauti ndani ya eneo moja. angalia waliotoka nyumbani pamoja na kuwa wametembea kwenye vumbi miguu bado misafi, na wamezingatia mambo ya afya, mwangalie aliye kwenye dunia yake anapiga kiburudisho sijui ni petrol hiyo au Energy drink, na sijui waliwahi jimwagia maji lini, kuna jamaa kulia ana layer mbili zinaonekana na nadhani ni baridi lakini hizo laye sidhani kama ziliwahi kutana na maji. Hiyo location setting yenyewe tu pamoja na vumbi, kutakua na kauvundo cha hilo pile la takataka hapo ni noma.
Nchi yetu kila moja na urefu wa kamba yake.

Katika kaeneo hako, kuna wale walio jehanamu (waliokaa) na ambao wako duniani (waliosimama). Ni shida sana.
 
Noma sana mkuu, watu wapo dunia tofauti ndani ya eneo moja. angalia waliotoka nyumbani pamoja na kuwa wametembea kwenye vumbi miguu bado misafi, na wamezingatia mambo ya afya, mwangalie aliye kwenye dunia yake anapiga kiburudisho sijui ni petrol hiyo au Energy drink, na sijui waliwahi jimwagia maji lini, kuna jamaa kulia ana layer mbili zinaonekana na nadhani ni baridi lakini hizo laye sidhani kama ziliwahi kutana na maji. Hiyo location setting yenyewe tu pamoja na vumbi, kutakua na kauvundo cha hilo pile la takataka hapo ni noma.
Nchi yetu kila moja na urefu wa kamba yake.
Yaani brother kuna mda unatembea unaangalia maisha ya wenzetu unashangaa Sana🙄
The gap between rich and poor kubwa 😔
Kuna masela ratiba ya kula hata mlo moja hawana especially Nairobi.
Kwetu hatuko perfect lakin utakunywa azam ukwaju bila usumbufu wowote tofauti na Nairobi kutembea umebeba hata maji ni Noma.
 
An african police station ladies and gentlemen, tell me hapa kuna justice yeyote utapata kweliView attachment 1887920
Vituo ni vingi huko hadi shida[emoji81][emoji81][emoji706]
JamiiForums-1272168958.jpg
 
Noma sana mkuu, watu wapo dunia tofauti ndani ya eneo moja. angalia waliotoka nyumbani pamoja na kuwa wametembea kwenye vumbi miguu bado misafi, na wamezingatia mambo ya afya, mwangalie aliye kwenye dunia yake anapiga kiburudisho sijui ni petrol hiyo au Energy drink, na sijui waliwahi jimwagia maji lini, kuna jamaa kulia ana layer mbili zinaonekana na nadhani ni baridi lakini hizo laye sidhani kama ziliwahi kutana na maji. Hiyo location setting yenyewe tu pamoja na vumbi, kutakua na kauvundo cha hilo pile la takataka hapo ni noma.
Nchi yetu kila moja na urefu wa kamba yake.
Siyo energy drinks mkuu...hapo anavuta gundi.
 
Back
Top Bottom