Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nyie ndio mnaeneza kuhusu Sukuma Gang. Mnawatukana watu wa kanda ya Ziwa. Unadhani hatuwaoni. Mnataka kuipoteza legacy ya Magufuli.

Magufuli hayupo mbona unaendelea kumwongelea!? Unadhani nyie Wazanzibar mtaichukua Tanganyika.
Achana na Magufuli kabisa. Udini wako huo utakumaliza.
wacha ufalamanga wewe! Unatoa povu la kijuha!
Hii mada iacheni ina mambo mengi sana yakufkiria naomba tuiache tuendelee na mada zingine, kila mmoja anafikra zake na mtazamo wake lakini pia kwa upande mwengine gwajima alitoa kama tahadhari kwa serekali

Naomba tuachane na hii mada tafadhal nikiwa kama mwenyekiti 🙏🙏🙏🙏🙏
 
Hio chanjo unauhakika nayo wewe kama wewe hebu nijibu kitaalamu
Taasisi za udhibiti ziko kwa niaba ya nani? Hizo chanzo zimeanza kutumika kwa Nchi kibao za Africa kabla yetu,what's wrong?

By the way kuna hata chanjo moja nyie mburura wa kiafrika mumewahi kuitengeneza?

Mumekalia ujinga na propaganda za dini za wazungu na waarabu,huu si ni wehu?

Wanaopinga kila siku wanazusha mambo ambayo hawajawahi thibitisha na ukiwaambia lete ushahidi hawana,pumbavu sana.
 
Taasisi za udhibiti ziko kwa niaba ya nani? Hizo chanzo zimeanza kutumika kwa Nchi kibao za Africa kabla yetu,what's wrong?

By the way kuna hata chanjo moja nyie mburura wa kiafrika mumewahi kuitengeneza?

Mumekalia ujinga na propaganda za dini za wazungu na waarabu,huu si ni wehu?

Wanaopinga kila siku wanazusha mambo ambayo hawajawahi thibitisha na ukiwaambia lete ushahidi hawana,pumbavu sana.
Kutumika sio tatizo kila nchi lazma inasheria zake na mipaka yake pia, na pili uchunguzi wa kina lazma ufanyike, na ww uhauhakika gani kama hzo nchi za ulaya wanatumia hzo hzo chanjo munazodungwa huku africa ?? Je kama munabadilishiwa dawa na mukipewa pipi za danganya toto ?? Lazma uweke tahadhari na gwajima alitoa kama tahadhari na hakusema kama anakataa chanjo

Na usisahau hzo hzo chanjo zishaleta madhara ya hapo kwa hapo mengi tu na hatujui ya siku zijazo pia, tumia akili yako ww kama ww kuchambua
 
nyie ndio mnaeneza kuhusu Sukuma Gang. Mnawatukana watu wa kanda ya Ziwa. Unadhani hatuwaoni. Mnataka kuipoteza legacy ya Magufuli.

Magufuli hayupo mbona unaendelea kumwongelea!? Unadhani nyie Wazanzibar mtaichukua Tanganyika.
Achana na Magufuli kabisa. Udini wako huo utakumaliza.
Legacy gani iliyopo hadi Serikali ihangaike kuipoteza na kwa maslahi gani hasa? Acheni mambo ya kijinga na kitoto,mlizoea progaganda last time awamu hii hakuna
 
Kutumika sio tatizo kila nchi lazma inasheria zake na mipaka yake pia, na pili uchunguzi wa kina lazma ufanyike, na ww uhauhakika gani kama hzo nchi za ulaya wanatumia hzo hzo chanjo munazodungwa huku africa ?? Je kama munabadilishiwa dawa na mukipewa pipi za danganya toto ?? Lazma uweke tahadhari na gwajima alitoa kama tahadhari na hakusema kama anakataa chanjo

Na usisahau hzo hzo chanjo zishaleta madhara ya hapo kwa hapo mengi tu na hatujui ya siku zijazo pia, tumia akili yako ww kama ww kuchambua
Sasa nani hajafanya huo uchunguzi wa kina? Kafanye wewe basi utupe majibu ya ubaya wa chanjo.
 
Hilo zao limerudi tena sokoni baada ya kupotea kwa miaka mingi,linatumika kwa ajili ya nini hasa hadi demand yake kuongezeka?
4AAB7050-F165-44E5-854F-E99969FB42CF.jpeg
 
Mkuu, serikali kupitia wizara ya afya ndio wenye jukumu la kuthibitisha na kuruhusu chanjo itumike, tayari serikali imethibitisha hilo na kutoa agizo itumike, yeyote anayepinga lazima awasiliane na serikali kupitia wizara ya Afya, sio kupiga kelele katika mitandao, hilo ni kosa la jinai na unastahili kukamatwa kwa kosa la uchochezi.

Kama viongozi wa CHADEMA wamekamatwa kwa kuvunja Sheria ya kukusanyika katika kipindi hiki ambapo mikusanyika isiyo ya lazima imekatazwa, vipi Gwajima anapingana na agizo halali la serikali bila kufuata taratibu anaachwa?.

Mkuu, chanjo yoyote dhidi ya ugonjwa wenye kuambukizwa ni lazima duniani kote, unachanjwa ili kuwakinga watu wengine hata Kama wewe mwenyewe hupendi, chanjo ya cancer ya kizazi ambayo haiambukizi wengine ndio sio lazima.
Huwa nakusapoti kwenye mambo mengi,ila hapa hapana. You are very wrong this time.
 
Hii mada iacheni ina mambo mengi sana yakufkiria naomba tuiache tuendelee na mada zingine, kila mmoja anafikra zake na mtazamo wake lakini pia kwa upande mwengine gwajima alitoa kama tahadhari kwa serekali

Naomba tuachane na hii mada tafadhal nikiwa kama mwenyekiti 🙏🙏🙏🙏🙏
Huyu mpumbavu Venus Star kwanza anionyeshe wapi nime-mention Sukuma gang au nimemtukana Magufuli! it is offensive kumuwekea mtu maneno! Ukabila na udini wake asipakazie watu! Fala sana huyu mpumbavu hana hoja kutwa kutapatapa!
 
Wengine wanaenda wapi? Unawapa bure au wanakuwa investors. Hao vijana wakienda huko beach wanaleta tija gani?
Vijana wakienda huko wanarelax, wana release endorphins, wanaacha kujiingiza na mambo yasiyo na tija. Unapokuwa na kundi kubwa la vijana wenye stress, taifa linakosa mwelekeo, hakuta kuwa na innovation. Matokeo yake taifa linaangamia.
Private sector wachukue walete pesa hizo hadithi za sijui Nia sijui nini hakuna cha maana kinafanyika.
Hivyo vihela vya Manji havina impact kubwa kulinganisha na 65% ya population kuwa na kiasi kikubwa cha cortisol level (stress hormone)
 
Back
Top Bottom