Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa mambo mkiambiwa kenya tuliwatangulia katika mambo mengi huaga mnakataa..
Tulijenga kitambo vitu vingi sana, nyie kubalini tu ya kwamba mligutuka sai..alafu ukiangalia vizuri katika hyo picha utakuta kuna space pembeni kwhyo likija swala km kuna ulazima wa kujenga terminal zngine za kinyamwezi zinaingia tu tena vizuri bila shida yyte ile..
Ona hzo space wewe, JKIA ilichorwa na wenye akili zao na ikapangika vizuriwala sio ule upupu wenu wa JNIA hata space haileweki, yani big for nothingView attachment 1869448View attachment 1869450
Ile siku mtajenga modern Airpot uje tuongee
 
Ile siku mtajenga modern Airpot uje tuongee
Km hii
images.jpeg-78.jpg
 
Kuna mmoja kachanganyikiwa tayari baada ya kuona vile airport tofauti tofauti watu wanavyojenga terminals

Yani jamaa kaleta mpka usaidizi kutoka china lkn akaangukia pua, hakuna mpuuzi wa kukubali kujengewa terminal ya ku serve km stesheni ya pugu

Code:
big for nothing
View attachment 1869530
Hebu hesabu ya juu na ya chini zina park ndege ngapi vile
JamiiForums-1481383522.jpg
JamiiForums-1112295486.jpg
 
sasa wakiweka na wewe u go low sio? sasa tofauti ya wewe na Teargas ipo wapi? kwani dar imekosa kujipambanua kiuhalisia? Acha hizo bana! Chanjo kama si wewe mwanafamilia atakuja kuitafuta baba!
Hey ancestor, are you missing me? I can see you are tagging me in every post you make.
 
Mzee wewe umeaza kumkashifu Magufuli mtu aliyekufa. Hivi unajiona ukosawa. Mpimbavu wewe. Achana na Magufuli wetu.
Jamani waacheni wajane mnawaumiza kuondokewa na mumeo.

By the way chanjo imeonesha jinsi nchi hii ilivyo na wapumbavu wengi ukiwemo wewe,ni ngumu kutofautisha mburula na nyie mnaojiita wasomi
 
Back
Top Bottom