Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,941
- 103,819
After this
And this
We are waiting for this
And this
We are waiting for this
Sasa apo unaona nn cha kutisha?johannesburg, cape town, durban were built by whites and they are sophisticated, and so are we, nairobi nakuru kisumu. whts wrong with that!?
this kisumu photo for instance speaks volumes of having a muzungu as your planner View attachment 1869603kisumu cbd was planned more than a hundred yrs ago. tht dream is now starting to get realized. kisumu is bound to grow to a Megapolis atleast by 2050
After this
And this
We are waiting for this
najua chartered flights sio? Hizo hapo juu ni scheduled flights kutoka Europe! Hapo za middle east na rest of Africa sijazitaja!Zanzibar hizo ndege za kirusi kila siku zinashusha abiria zaidi ya 200
Hii hali ilitokea wakati tunajenga TB 3 wajua tena mifereji huwa inakuwa kitu cha mwisho mwisho Kipindi hiki mvua zilikuwa kubwa sana so hesabu za ku diverge maji kwenda kwenye ponds zilizidiwa!it happens kwenye construction sites especially kwenye miradi mikubwa kama hii, vipi umeshawahi kuona miaka hii ya karibuni tena?!!!!Relax!!!.Pata kahawa inasaidia kuamsha ubongo ufikiri vizuri!!hapa ilibidi nyambizi na ferry! nakumbuka hiyo siku nilipigwa ban na uzi wangu kubadilishwa title na kurushwa 'jamii photos'. Simu ilitoka ikulu direct, hawa ma buku saba wa ccm walikula viboko huko ikulu sababu ya huo uzi.
View attachment 1869536
asante kwa kushiriki
Huku Jomo Kenyatta International Airport mbona kila siku!hapa ilibidi nyambizi na ferry! nakumbuka hiyo siku nilipigwa ban na uzi wangu kubadilishwa title na kurushwa 'jamii photos'. Simu ilitoka ikulu direct, hawa ma buku saba wa ccm walikula viboko huko ikulu sababu ya huo uzi.
View attachment 1869536
najua chartered flights sio? Hizo hapo juu ni scheduled flights kutoka Europe! Hapo za middle east na rest of Africa sijazitaja!
Kuna hii pia
Yap, nakumbuka wale watalii wa kirusi waliopanza kuja Zenji walikuwa wanasema zamani walikuwa wanaenda Thai...Ndio hizo,zanzibar inapora soko la utalii la cyprus na thailand taratibu
ila Thailand baba si rahisi! Kama unajua utalii wa Thailand vizuri ngoja janga la UVIKO19 liishe! Wale wako so advanced in tourism hamna comparison duniani! Tunachoweza kufanya ni kushirikiana nao! Ukiacha beach tourism, cuisine na exotic places, kumbuka wateja wao kwa kiasi kikubwa ni midume (vizee na vijana) na hao Wazungu wanaenda kwa sex tourism pia! Na kule wana-offer superior service! Superior thai massage parlour , thai foods restaurants and eateries zipo kebekebe kule hata ulaya 🤣 🤣Ndio hizo,zanzibar inapora soko la utalii la cyprus na thailand taratibu
www.ttgasia.com
C19 imefanya warusi,waukraine na wapoland wajue kama zanzibar kuna blue safari na ni safe pia,na hao wengi wao ndio soko kuu kwa utalii wa thailand na some asian countries,vivutio vyao avipishani sana na vya kwetu sema sie atujitangazi na vile vile kama ushafika east europe wanaongelea negative tu kuhusu africa hasa hasa usalama,jamaa walipoanza kuja wakakuta kila kitu tofauti na walivyoaminishwa,serikali ikijipanga mafia island kina sifa zote za kitalii (blue safari)sema ndio hivyo tunakichukulia poaila Thailand baba si rahisi! Kama unajua utalii wa Thailand vizuri ngoja janga la UVIKO19 liishe! Wale wako so advanced in tourism hamna comparison duniani! Tunachoweza kufanya ni kushirikiana nao! Kumbuka wateja wao ni mainly midume na hawa Wazungu wanapenda sex tourism pia! Na kule wana-offer superior service!
![]()
Difficult start for Thailand’s tourism reopening | TTG Asia
Thailand has finally put the Phuket Sandbox into play, but hopes and reality seem to continue to be at odds.www.ttgasia.com
Ndio mkuu,warusi ndio mhimili wa soko la utalii kwa thai na cyprus,kikubwa tour guide wetu wapewe elimu kubwa sana waache vizinga na wizi mdogo mdogo,usafi wa mitaa n.k,tutapindua meza kibabe broYap, nakumbuka wale watalii wa kirusi waliopanza kuja Zenji walikuwa wanasema zamani walikuwa wanaenda Thai...
For exotic places and beach tourism, yes ilaaa...! Wacha kabisa kwenye ushawishi (promotion) wao! Kama ushaishi Ulaya au Marekani angalia lifestyle ya Thailand ilivyojengeka ndani yao ukienda travelling agency, 60% ya banners ni juu ya Thailand! halafu promo yao inaanzia majumbani mwao hao Wazungu! Haipiti wiki wamekula Thai foods (noodles e.tc.) na kwa mijeba kama si kwenda Thai massage wataenda brothel ikifika summer wanaenda kabisa huko Phukhet ama Bangkok!C19 imefanya warusi,waukraine na wapoland wajue kama zanzibar kuna blue safari na ni safe pia,na hao wengi wao ndio soko kuu kwa utalii wa thailand na some asian countries,vivutio vyao avipishani sana na vya kwetu sema sie atujitangazi na vile vile kama ushafika east europe wanaongelea negative tu kuhusu africa hasa hasa usalama,jamaa walipoanza kuja wakakuta kila kitu tofauti na walivyoaminishwa,serikali ikijipanga mafia island kina sifa zote za kitalii (blue safari)sema ndio hivyo tunakichukulia poa
Walisema abiria wote wameshuka Mombasa