Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pia wadau wa utalii wawekeze kwenye cultural tourism. Kuwe na joints za kibabe za ku mingle kati ya foreigners na local community. Sio mtalii anatoka kwenye first world anakuja anaishia kwenye 5 stars hotel and bars.. Anaenda mbugani then anarudi Kwao.

Sasa huko akiulizwa wa Afrika wanaishi vipi au wapi atajibu nini? Mahotelini anakutana na wageni wenzake na Africans wachache tena wafanyakazi labda.. Hivyo anashindwa kujua culture yetu na vile tunaishi.

Nchi yetu ni friendly na amani ya kutosha.. Hawa watalii wajae mitaani huko wafurahie mazingira na kujichanganya na jamii.
Hii ni kwa Utalii wa Kanda ya Kaskazini kwa Maasai na Wasukuma na maeneo ya makumbusho nk wanaweza pata pesa hapa.
 
Wapi nimesema siamini. Nimekwambia hapa ni battle. Ukianza kuweka kila kitu utakuwa ni upumbavu. Nilikuonya last time kwamba kuna vitu hapa unaweka haviendani tunakuvumilia tu. Wewe ukanikazia, eti kwakuwa nimeweka kisiwa kilichopo bagamoyo. Ona sasa wewe unachokifanya. Unang'aka kwa hasira. Ukiwa unakosoa wenzako usijifanye wewe malaika hukosei. Ondoa tabia hiyo, hutaweza kuishi na watu kwakujifanya mjuaji.

Mkuki kwa nguruwe siyo. Unaonawewe upo right kwa kila kitu. Huo ni upuuzi. Jirekebishe.
😆😆😂😂 Kimeumana huku ,Wakenya saidieni kuokoa jahazi la wazee 🏃🏃🏃
 
mombasa hamna kitu bro,dar kama tutaamua kuitangaza kiutalii wa blue safari zaidi ya msa,kuanzia visiwa vya,bongoyo,mbudya na hata pale coco iwapo serikali itawezekeza,sasa huko kigamboni ndio kuna pwani nzuri mno pakiboreshwa,TZ tumelala sana upande wa utalii,watu wa serikali wamekariri utalii ni mbuga na mount kilimanjaro
Nguvu kubwa inayotumika kujenga sgr ingewekezwa huku kwenye utalii Dar nk ingekuwa kama Miami na Barcelona kwenye utalii na mapesa mengi yangepatikana ya kujengea hizo sgr kama kumsukuma mlevi hivi.

Nchi hii wenye maamuzi hawajui wapi wajikune,wapi washike na wapi wapande yaani ni bora liende
 
Tafuta cha kufanya na uache kupotosha! Lile swala liliisha na nishalisahau unless ilikuuma kuku-expose na ukaweka kinyongo! polee! Ukweli hubaki ukweli, kama unaringishia Dar then ringishia kwa fairplay na si kwa "Fallacy", kiufupi huwezi ukachukua Mlima Kilimanjaro ukadai upo Dar! Ni hilo tu...! Kumbuka wewe ni mmojawapo wa waliokuwa wakimcheka Teargas na picha yake ya minoti ya kuokoteza! yaani hata saahii ukidanganya nakufyatua tu and don't take it personal, yani unachukua hoteli za Zanzibar na Bagamoyo na kudai ziko Dar that can't be accepted, "SORRY", Mkenya akidai Mlima Kilimanjaro upo Kenya unapiga kelele humu mwezi mzima! 😉 🙏
Geza tupe updates za kinachojiri Serikalini achana na Wajane wa Mwendazake akina Venus,Simon,Best nk
 
For exotic places and beach tourism, yes ilaaa...! Wacha kabisa kwenye ushawishi (promotion) wao! Kama ushaishi Ulaya au Marekani angalia lifestyle ya Thailand ilivyojengeka ndani yao ukienda travelling agency, 60% ya banners ni juu ya Thailand! halafu promo yao inaanzia majumbani mwao hao Wazungu! Haipiti wiki wamekula Thai foods (noodles e.tc.) na kwa mijeba kama si kwenda Thai massage wataenda brothel ikifika summer wanaenda kabisa huko Phukhet ama Bangkok!

Tunapaswa kujitahidi haswa kwenye swala la ku-market swahili language na -cuisine huko kwao! Thai tourism haina mpinzani duniani nenda tourism exhibitions uone wanavyochukua ma-hall makubwa makubwa na kushinda awards! Tuhakikishe zile kampuni zao zinakuja Zanzibar na pia spice tag iwe marketed sioni ikitumika kwenye tourism exhibitions kabisaa!! Kuna kampuni ya ki-thai ya Elewana ipo Tanzania wahakikishe zinakuja nyingine nyingi! Ila kushindana nao sijui kama tutawaweza!!


IMHO...! Tena Air Tanzania ina route ya Bangkok Thailand kuelekea/kutoka Guanghzou China...





koko beach is sad the sand has turned black I don't know the government officials who live there don't see any cleanliness being done professionally
 
Mzee mbona unang'ang'ana sana na masuala ya chanjo!? Unakumbuka last time uliniambia maneno mabaya sana. Niliweka kisiwa kilichopo bagamoyo.

Kwanini wewe huheshimu battle hii!? Masuala ya chanjo yanahusika vipi na battle!?
even the mother has no idea beyond the vaccine I don't see anything economic progress in her head is zero intelligence
 
From being a forbidden dessert to one of the new tourism site in kenya sooo magical
 
Mimi nilikuwa nakukumbusha wewe kuhusu kuweka vitu tofauti na thread. Wewe siku ile ulikuwa mkali kweli.

Nilijaribu kukusihi kwamba mbona watu wanaweka vitu tofauti humu. Uliahupaza shingo. Mimi niliweka picha hii:-
Lazy Lagoon, which is part of battle. Ulinichamba nikasema isiwe taabu. Nashangaa wewe umeng'ang'ana na kuweka issue ya chanjo.
View attachment 1869906View attachment 1869907
sasa wakiweka na wewe u go low sio? sasa tofauti ya wewe na Teargas ipo wapi? kwani dar imekosa kujipambanua kiuhalisia? Acha hizo bana! Chanjo kama si wewe mwanafamilia atakuja kuitafuta baba!
 
Watch out for this turkana place in the past all one could hear about turkana was hunger and drought but after roads were built to the area the rate at which tourists been flooding to the area am sure it's going to be a game changer this place was a hidden gem
 
watampa manji nadhani! [emoji1787] [emoji2960]
The point is, if a Tanzanian wants to see the sea, it's like going to another country and you have to pay. for all the beaches are owned by the rich is not fair at all
 
sasa wakiweka na wewe u go low sio? sasa tofauti ya wewe na Teargas ipo wapi? kwani dar imekosa kujipambanua kiuhalisia? Acha hizo bana! Chanjo kama si wewe mwanafamilia atakuja kuitafuta baba!
Mzee unapenda ligi siyo!!? Nimejaribu kukukumbusha uache watu wafanye mambo kwa Uhuru.

Nimejaribu kukuonesha why wewe ulinikataza kuweka Lazy Lagoon ya bagamoyo ukidai ni nje ya mada!!? Halafu wewe leo unaweka issue ya chanjo which ni nje kabisa ya thread. Double standard. Ukiwa na msimamo simamia msimamo wako, usiwe kigeu geu.
 
Even Tanzanians are invited let's welcome the new coolkid in town from once a deserted area to one of the most potentially viable place I know
 
Mzee unapenda ligi siyo!!? Nimejaribu kukukumbusha uache watu wafanye mambo kwa Uhuru.

Nimejaribu kukuonesha why wewe ulinikataza kuweka Lazy Lagoon ya bagamoyo ukidai ni nje ya mada!!? Halafu wewe leo unaweka issue ya chanjo which ni nje kabisa ya thread. Double standard. Ukiwa na msimamo simamia msimamo wako, usiwe kigeu geu.
 
The point is, if a Tanzanian wants to see the sea, it's like going to another country and you have to pay. for all the beaches are owned by the rich is not fair at all
wewe unafikiria Manispaa ya Kinondoni haijui hilo? Ila wanafanya makusudi ili wasingizie hawawezi kupatunza! Wapate sababu ya kupabinafsisha! Yatatokea makundi kupigia debe Manji apewe kwa kisingizio cha uwekezaji we ngoja!
 
Back
Top Bottom