Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

these photos were taken twelve to fifteen years Back bro.
Eti 15 yr ,brt yenu ya juzi tuu!DALADALA 2021 kando ya brt 🤣😂! Jalopies can’t compare with MA3,don’t flatter yourself!😎
8781621F-B46A-48D7-B285-2D195AD76631.jpeg
9812E71B-9E87-42FA-8A87-AF782BB89C1E.jpeg
4F043C92-7751-46F3-84AE-FF7A1AD38A14.jpeg
20030682-5D3C-414D-9D1C-42F0FAFDADB6.jpeg
22C9E90B-492A-431C-AFAF-902842B4A468.jpeg
58BD599D-5238-4698-ADAC-C7093672CCFA.jpeg
0BE7BBBB-038D-49E7-95E5-649A0E68FAA3.jpeg
236794CA-3244-43C8-BBDF-7F13359C1034.jpeg
6FADB064-10DF-405E-BE49-6F06E5537151.jpeg
E7FAC0A8-B70E-47EA-88B0-3EEE836F9E3A.jpeg
981D9965-D75B-4B75-AE76-2445AE8D7819.jpeg
81F0A14E-263F-48BC-A0C6-D9424FDAD08B.jpeg
FE87489E-C09D-496B-80B8-7A96D25CDEFD.jpeg
F97AE57E-2D9C-4F0A-AA0C-0EE67426FBE5.jpeg
5A2D8D30-D795-451B-B42B-F799EE21FC64.jpeg
83E0C67A-BAD8-45DE-B6BD-74FDC256E3B1.jpeg
F9D1D0A2-2316-44CE-9B0B-1B90127A2F9D.jpeg
3621C851-14CE-4827-9E9E-74FC82660E33.jpeg
94830AAB-C1EE-49A7-986E-F33A4513FD38.jpeg


7A4EC3C4-0CD2-402F-B852-9ADAD70ABE7D.jpeg
 

Aisee mkuu hii habari Nina mashaka nayo, issue ya Caroline kujitoa uhai naona kama Iko fishy Sana inawezekana she was killed somewhere alafu akapandikizwa evidence! kama kisa cha father keisa kama unakumbuka siunajua wenzetu ndo zao au unaona hiyo habari imekaa aje?
 
wengi kama vile lile Jamii la Hadzanabe/Hadza jamii ambayo iko Tanzania,na wengine Malnutrition
Mi natokea mkoa wanaopatika hao Kwanza huwa wanapewa chakula na serikali hawafi njaa.hao jamaa hawalimi wala sio wafugaji ni wawindaji wakati kuna njaa huwa wanapewa vyakula.Tatizo ni mtindo wao wa maisha.
 
Aisee mkuu hii habari Nina mashaka nayo, issue ya Caroline kujitoa uhai naona kama Iko fishy Sana inawezekana she was killed somewhere alafu akapandikizwa evidence! kama kisa cha father keisa kama unakumbuka siunajua wenzetu ndo zao au unaona hiyo habari imekaa aje?
she was killed somewhere? So amekufa mara mbili? Au unamaanisha she had killed somewhere? Na mbona unamashaka kwamba aliua?
 
Ameuliwa prove picha inaonyesha kuna dam ilio dondok wakat anawekwa apo...ukiangalia apo kwenye miguu kuna dowa kubwa tu la dam na kwa pembeni zaidi pia ipo ila akuna hata tone la dam ukutani sasa iyo risasi alijipigaje ?....wahuni tu hao
 
We umeshaambiwa hizo picha ni za zamani Sana usiwe mbishi🙂 alafu mfumo wa matatu ni failed transport system kwa maana haipo safe and reliable mnaitumia sababu hamna option.
Kwa hiyo kaa utulie.
Mlijenga brt 15 years ago??? Motherfucker!🤣😂😁 Daladala kando ya brt ni mawe au wadudu? Ni brt au mto?😎🤓🤣😂😅!
ACD4D502-5527-40A3-91FC-5CC046DFFB44.jpeg
43378D10-EB11-4FF0-97D9-16A0D8FAE39E.jpeg
9E5CB631-CD82-4852-B76D-48D198EF5E8A.jpeg
3A3587EE-BCF8-4471-A995-BBCFE7FADB3F.jpeg
35F39BD7-B2BD-49E6-ACF3-6EC9A10AA42F.jpeg
 
Ameuliwa prove picha inaonyesha kuna dam ilio dondok wakat anawekwa apo...ukiangalia apo kwenye miguu kuna dowa kubwa tu la dam na kwa pembeni zaidi pia ipo ila akuna hata tone la dam ukutani sasa iyo risasi alijipigaje ?....wahuni tu hao
Umeona hawa jamaa sio kabisa
 
Unajua kuna ile namna huwa mmoja wao akidanganya humu halafu wanaungana wote kutetea uwongo na yeye hapo anadhani labda na nyie mnadanganya na mmeungana kudanganya kumbe ni ukweli mtupu tu
Mnapingana mpka na picha, kweli nyie watu mumechanganyikiwa
 
Matusi ya nini 🙂? Hivi ina maana huwezi ukaongea bila ya matusi watu wasielewe? Kweli wakenya MNA matatizo 🙂
Punguza ujinga matusi itapungua,tatizo unadanganya hadharani,eti hamna daladala dar,mafuriko ni ya juzi pia,your failed brt is a river whenever it rains🤣😂😎
 
Back
Top Bottom