Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kabisa,,soon mambo yakikamilika inabidi tuiweke kando hii hoja maana tupo level za juu kabisa
We compare ourselves with South Africa, Egypt, Morocco and Tunisia sio hawa wenye gari moshi. Level yao ni Tazara na MGR tz wajipambanishe huko. Tena napendekeza uanzishwe uzi wa Tanzania MGR/Tazara vs Kenyan SGR
 
game changer..

i love NAIROBI CITYView attachment 1855788
DARSLUM, FISHING 🎣 VILLAGE 😂😅😁😄
Screenshot_20210716-125235.png
Screenshot_20210716-124840.png
Screenshot_20210716-124900.png
 
Just because I am not a Dar resident doesn't mean you can lie to me. Uniambie eti kutoka posta hadi Kariakoo ni kilometers tatu alafu unatarajia nikuamini wakati hii ni kitu tu ya kuona kwa mach hatakwa map?!
Kumbe macho yako yana rula. Hadi unabishana na ramani kweli we mbishi

Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
 
umepanic karibu bear young kid,,hako kasehemu ni kadogo san
..so ukubwa ni uzuri 😂 😂 , unajua maana ya ku panic? ama unakurupuka tu hilo neno kama vilaza flani watatu humu.,., Lagos is far bigger than johannesburg and cairo., so Lagos is the best?😂😂😂., vigorofa vitatu vinawatia orgasm.., check yourselves, wacheni kiherehere..,
 
We compare ourselves with South Africa, Egypt, Morocco and Tunisia sio hawa wenye gari moshi. Level yao ni Tazara na MGR tz wajipambanishe huko. Tena napendekeza uanzishwe uzi wa Tanzania MGR/Tazara vs Kenyan SGR
Garimoshi ambalo ni superior kuliko lile la umeme
Mumepigwa bana sio uongo mzee
 
Aisee mkuu hii habari Nina mashaka nayo, issue ya Caroline kujitoa uhai naona kama Iko fishy Sana inawezekana she was killed somewhere alafu akapandikizwa evidence! kama kisa cha father keisa kama unakumbuka siunajua wenzetu ndo zao au unaona hiyo habari imekaa aje?
Habari zipi hizo kaka...ama wamaanisha kile kisa cha tundu lissu huko TZ
 
Wakunya wengi tu watakuwa wanakuja kupiga picha hapa ili kisaka Tonge. Bongo ndo itakuwa mpango mzima

Kina miss trudy, African tigress. .....wote hawa watahamia huku
Yaani nyinyi bongo lalas miradi yenu yooote ni ya itakuwa itakuwa ...hadi lini.....kuweni kama sisi kazi ni kuanza na kumaliza...yaani tangu sijui lini mko pale pale kwa reli mara sijui oh.....malizeni muanze kutumia alaaaaaa
 
Back
Top Bottom