ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Yani mm nisikumudu ww 😄😄😄 unajifanya mjuaji alaf u know nothing na hio kisutu hapo unamuachia nani ?? Mama ngina auUyo jamaa hawezimudu hada dakika kwa sababu anataka kulazimisha fikra zake potovu ziwe ukweli. Posta na Kariakoo zimetenganishwa tu na barabara. Swali ni je, Kutoka posta hadi Kariakoo ni km tatu? Nataka uwe mkweli

