Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna kujengwa lane hapo ni mwendo wa lipstick
Acha uchawi basi.... Itajengwa upende usipende! 🤣 🤣 🤣 👇
IMG_20210628_095612.jpg
 
Watanzania muache kuvuruga Tamaduni za wenyewe,sio kila mtu anataka kuwa mswahili😬😬*Hadza/Hadzabe#Tanzanian Bushmen,are hunters and Gatherer tribe and their food is their animals,Their Homeland is Northern Tanzania,Eyasi Valley,75% of their land has lost over a period of 50years,munawadhulumu kwasababu hao sio Kama Nyinyi they have maintained their culture of life,Sasa munawaibia na huwaharibia Jinsi mnavyotaka😬😬😬because they are a minority group

Kwani miaka 50+ iliyopita waswahili walikuwa wapi na wangapi?
 
Mm niliwahi kuambiwa na uncle wangu ambaye alisoma na kuishi Kenya, akaniambia wakenya ni wana roho mby na ni wachawi mno, ukimpita darasani basi kesho huamki salama, au hata mpirani ukimchukulia namba anakuroga, yeye mwenyewe uncle kawahi kurogwa, na alijua kwamba karogwa baada ya kuambiwa na rafiki yake ambaye alikuwa mkenya na alipelekwa kwa sangoma na huyo mkenya.
Hii ni movie ya Bongo, nishawahi kuiona! 💉 💉 💉 Wabongo wamejaza thread za kichawi balaa, mikasa ya kutisha, mabwenyenye wenyu naskia ndio vigogo wa kuruka kwa uteo. Yaani mnaishi vipi nyie, hamtakiani mema hadi mwarogana wenyewe kwa wenyewe, mbaya zaidi mkafanya Mondi wenyu asipewe award kule States, kisa kumchochea! Nyie wachawi bhana, hata muende wapi, Tz + Nigeria = Horror Film(Hollywood blockbuster) 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
kuna kitu nimewaza kuhusu Yanga.. yanga msimu ujao wakikaa vizur kimahesabu watasumbua/watakuwa vizur sana kwenye ligi kuu na CAF

Yanga
  • Gharib (GSM)
  • Rostam (Taifa Gas)
  • Manji (Quality Group)

Simba
- Dewji Mo

mim ni simba ila hawa jamaa yanga wakikaa vizur, watatusua sana
Timu haijengwi na hela tuu bali na mipango pia
 
Alfu website ya kifala fala inawambia wakenya hatuna MRLS
Tunajua hamna hata spare za A-100 na hamjawahi fanya field test! 🤣 🤣 🤣 BTW, Pakistan wali upgrade, wanaunda variant zao wenyewe sahi(local)... Nyinyi sasa, duh! 🙆🏾‍♂️😬😁
 
Maandishi hayo. Unaweza ukatumia photoshop kuyaweka.
Mamba is a South Africa Vehicle
Which has a production factory in Mombasa! 💉 💉 💉 Hata Uganda walianza kwa kununua Mamba za SA, sahi wana tengeza Mamba version ya UG. 😂 😂 😂
 
Ethiopia,Uganda are our allies and trade partners we are not at war with them.Alshabab wakivuka border wanalamba vumbi .BABU 255 vaa mask corona ipo!View attachment 1831909View attachment 1831910View attachment 1831911View attachment 1831912View attachment 1831913View attachment 1831914View attachment 1831936View attachment 1831937
A wise Lt. General once said, "FORGIVING a TERRORIST is left to GOD, but FIXING their APPOINTMENT with GOD, is our RESPONSIBILITY!!!"

That's what we're doing - giving them a free passage to go receive the 72 virgins in hell!
Ova! 🤣 🤣 🤣
 
#Real Rumors,Museveni son Dead(Mkubwa wa wanajeshi Uganda) and Museveni amepandishwa ndege akapelekwa Germany,Amedevelop serious breathing problems🙏Pray for Him,Uganda 200 mps hospitalized after testing positive for Corona virus,Watanzania mjichunge Tafadhali,Don't Joke
Duh, hii variant ya India imekuja vibaya! Ni maombi tu na kuwa careful
BTW, it's rumors though, ako hai, he's personally confirmed it!
 
View attachment 1834457Inaonekana mchakato wa project ya BRT awamu ya tatu ya nne na ya tano unakwenda poa! Tukiweza kucover haya maeneo kwa BRT na tukaendesha kwa ufanisi Dar itakwenda mbali kwenye swala la public transport pamoja na muonekano kwa ujumla plus these projects;
Msimbazi basin
Coco Beach

Yeah kweli Phase 6 ndo phase ya mwisho lets wait and see i project 2030 ndo tutaona Phase zote zimekamilika
Phase 3&4 most likely ujenzi utaanza 2022 na 2023 for phase 4 ..kuisha after 3/4years 2026/2027.. na phase 5 might start miaka ya 2026

Coco Beach Project sijui imeishia wapi ..
Ila am sure litajengwa Daraja lingine jangwani ..na project ya kuimprove Jangwani itafanyika ..

With our Population Growth we will need a Rail for mass transit soon
 
Back
Top Bottom