Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hujui proqument wewe ukinunua vifaa vya vita unanunuq na spare
Ndio kichapo waliwaekea hicho, mtakuwa mnatoa hela hadi akili iwaingie kama wa Pakistan... Chezea mchina wewe. Kwanza hawazitumii, so lazma spare zenyu mkitaka extra bei inapanda maradufu sababu kwao sio priority! 🤣 🤣 🤣
 

Tanzania is an African food export giant​

Tanzania is Africa's third largest exporter of foodstuffs to the rest of the world; the East African nation leads the EAC region. Its food crop production reached 9.3 million tons in 2018/19, compared to 9.7 million tons 2014/15 (-4 per cent). Among the country's main staple crops are cassava, potatoes and bananas.

Crop exports accounted for 1.9tri/- ($830million), which equates to nine per cent of the total value of Tanzania's exports in 2019, compared to 1.8tri/- (793million) in 2015, representing an increase of 5 per cent.

In Africa, a continent with severe food insecurity challenges, most food comes from abroad. Between 2016 and 2018, about 85 per cent of food was imported from outside the continent. The index further projects that even as its population grows; net food imports to Africa are expected to triple by 2025 as undernourishment grows by one-third.

 
Kismayu iko ndani ya Somalia.
Jubaland iko ndani ya Somalia.

Migingo ni mali halali ya kenya ila sasa hivi iko chini ya Uganda
Labda iwe ni mpuuzi anatawala KE! Usiwe desperate hivyo kijana! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 šŸ‘‡
Screenshot_20210629_155133.jpg
 
Mwanajeshi kufa vitani ni kawaida.ila wanajeshi kubakwa kama wa Kenya sio jambo la kawaida.hao wa Mtwara walivamia kijiji usiku uliza kilichowakuta mpaka leo hawana hamu ya kurudi Tanzania.congo jeshi la Tanzania ni kati ya jeshi lililofanya vizuri kazi yake mpaka tukawaondoka k 23.
Hapana mlipigwa mapanga na wavuta bhage! 😬😬😬
 
Hapana mlipigwa mapanga na wavuta bhage!
Tumia akili lile lilikuwa shambulio la gafla watu walikuwa hawajajiandaa.alafu huwezi kuwavamia wanajeshi ambao wanamafunzo tena kutoka Tanzania na mapanga.jaribu kutumia akili hata kidogo.uliza kilichowakuta baadaye walikufa wote alafu kimya kimya.hatutaki sifa.
 
Sasa ukilia hivi,itakuwaje wakati Nairobi,Mau sammit expressway ikijengwa next year 😁😁hii expressway itapitia Nakuru town in form of a Viaduct Kama hii ya Nairobi expressway šŸ˜šŸ‘,anza kuandika suicidal note,huna linginešŸ˜‚šŸ˜‚
Leo nimecheka sana! šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚
 
Tumia akili lile lilikuwa shambulio la gafla watu walikuwa hawajajiandaa.alafu huwezi kuwavamia wanajeshi ambao wanamafunzo tena kutoka Tanzania na mapanga.jaribu kutumia akili hata kidogo.uliza kilichowakuta baadaye walikufa wote alafu kimya kimya.hatutaki sifa.
Wewe tulia hebu, ati wanajeshi hawajajitayarisha? Kwani walikua wameenda Congo kukata mauno na kula kitimoto? šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ Vijana kama hao hapo chini, wanawatoa kijasho, sembuse mishetani ya alshabab inayoshobokea mabikra 72 ahera??? šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚
Naskia huyo dogo wa red beret, ndiye alikuwa commander wa lile shambulio kule Congo?
IMG_20210629_170611.jpg

IMG_20210629_170557.jpg

IMG_20210629_170546.jpg

IMG_20210629_170532.jpg
 
Training, hakuna kitu hapo, tena ni joint! 🤣 🤣 🤣 Njooni live huku. Alafu mlienda Comoro hivi kumbe? šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ‘‡ šŸ‘‡
View attachment 1834642
View attachment 1834643
No safety, at all. No wonder you suffer petty losses like drowning of a soldier bcoz of bs like this.
Mzee wa rally ya marl BORO. Vipi mbona unaturudisha nyuma!? Rally uliweza kuikalia vizuri!?
Screenshot_20210627-221926.png
 
Back
Top Bottom