Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzee, tatizo la hawkers na vibanda zisikuumize akili maana ni vitu temporary ambazo wakti wowote zinaondolewa serikali ikijiskia.
Kuhusu infrastructure nani leo hii angetabiri tungejenga expressway kwa mwaka mmoja, hakuna. Kwa hio tunaweza amka siku yoyote na kutangaza miradi mingi kama upperhill viaduct.
Bottomline ni kwamba Nairobi inakuja kwa kasi ambayo inanipa matumaini makubwa sana.
Mmejenga expressway ela mmetoa wapi
 
JamiiForums1891931168.jpg
 
hivi wakunya mshawapelekea chakula wenzenu huko baringo kantri au bado mnademka tu humu?
 
kuna kitu nimewaza kuhusu Yanga.. yanga msimu ujao wakikaa vizur kimahesabu watasumbua/watakuwa vizur sana kwenye ligi kuu na CAF

Yanga
  • Gharib (GSM)
  • Rostam (Taifa Gas)
  • Manji (Quality Group)

Simba
- Dewji Mo

mim ni simba ila hawa jamaa yanga wakikaa vizur, watatusua sana
 
Here are some comments on Safari Rally by World Rally Championship (WRC) crew

~Ogier: I had a love-hate relationship with the Safari Rally. I loved it. It hates my guts. Will definitely be back.

~Tanak: If it's not in the calendar next year, I will stop racing. A zebra jumped over my car during reccee and I didn't know whether to laugh or cry. Such beauty.

~Katsuta: I am definitely coming for holiday in Kenya with my family...and not driving.

~Rovanperā: Short rally. Long rally. Beautiful rally. I am still absorbing the beauty of the Safari Rally.

~Fourmaux: I was tempted to stop my car and take pictures of the beautiful scenes. The colours, the people, such warmth.
Greensmith: A number 5 finish in what's been my toughest rally ever is like a win to me. Hats off to the Kenyans, who seemed to enjoy this more than any other WRC rallies. I must come back and beat the course.View attachment 1833083View attachment 1833085View attachment 1833086View attachment 1833087
✊🔥🔥🇰🇪
 
Back
Top Bottom