Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hebu angalia ulivokua mwehu wa level yakipekee 🤣🤣🤣👇👇👇 tumia macho tu wala usitumie nguvu hapo ground iko wapi alaf tazama na hii ground iko wapi

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂View attachment 1826209
Kwahio hii huitaki sio, yani wewe umshinde mzungu akili ambae unavaa chupi yake. Hio barabara ya katikati imechimbwa chini 👇 👇 👇 👇 👇 👇 👇 🤣
2815447_IMG_20210621_232354_707.jpg
 
Kwahio hii huitaki sio, yani wewe umshinde mzungu akili ambae unavaa chupi yake. Hio barabara ya katikati imechimbwa chini 👇 👇 👇 👇 👇 👇 👇 🤣 View attachment 1826215
Hapa hutoki leo mpaka akili ikae sawa🤣🤣😂😂👇👇👇 hii hapa haya tuoneshe underground hapo wakat 1st level iko sawa na ground level
31626A62-F0CC-4DC8-80CB-AADCFAF89578.jpeg
 
Kwahyo kumbe akili zako zinavyokutuma ni kwamba sisi tunasema "Swala"kwasababu hatuwezi kutofautisha L na R 😂😂😂😂 we ni kum*** kweli wewe .. vipi asee huyu chalii wetu.? Nenda ukafanye assignment uliza wakunya wenzako ni Swala au Swara.? Hatuna neno Swara kwenye lugha ya kiswahili, mimi ni native speaker wa kiswahili, mbwa kama wewe utaniambia nini.? Sio tu kukiongea nimesoma kiswahili kuanzia chekechea mpaka advance form 5-6 Mimi nimesoma HKL, mbweha kama wewe utaniambia nini kuhusu kiswahili .?
Swala wewe, toka hapa!!! 🤣 🤣 🤣 Umekuja na kiswahili cha mashambani hapa? 😁
 
Ametoroka tena 🤣 🤣 🤣 💉 💉 💉 👇 👇 , hii barabara ya katikati inaanza kama groundlevel lakini ikifika kwa interchange inazamishwa chini ilikupisha ring road na flyover, mfano ni hii mikindani interchange.
2814994_images.jpeg


IMG_20210622_101348_343.jpg
 
Wacha usenge hakuna kitu kinachoitwa swara kwenye kamusi ya kiswahili kutoka Bakita.
Kiswahili hakijaanzishwa na bakita
Kiswahili kilianza enzi za akina sultan km lugha ya biashara..sasa labda unambie km hao bakita ndio waanzilishi wa kiswahili...

Yani leo nilimuuliza babu akacheka sana yani, alafu jibu alonipa nikaona tosha haina haja nijibizane tena..
Kasema niachane na watz, wao hujitia ujuaji na kiswahili lkn hawana wanalojua kazi yao kujisifia kiswahili wanakijua nkm kilianza hko..
Kasema bakita sio waanzilishi wa kiswahili muache kunihadaa
 
Back
Top Bottom