President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,052
- 93,442
Tunasema namna mlivyo nyuma. SGR Station yenu mbovu inazidiwa na Bus Stand ya MorogoroKwani hio bus station inaeza pokea train 😆 😆 😆 😆 😆
Tunasema namna mlivyo nyuma. SGR Station yenu mbovu inazidiwa na Bus Stand ya MorogoroKwani hio bus station inaeza pokea train 😆 😆 😆 😆 😆
Imekaa kama mpira wa mguuAweke yao ya Dar, the ugliest sgr train station., 😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23]Kigoma International Airport [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 1826469
View attachment 1826470
View attachment 1826471
Vs Kongowea Market Msa
View attachment 1826472
Mzee unaziona Bus Terminal za TZ!?Hiyo ni soko hivi😂
Wacha ujinga, lugha ni moja hakuna kusema kingereza cha mmarekani na muingereza ni tofauti, hakuna kitu km hicho, kingereza ni kile kile tofauti matamshi tu, lkn cha kuandika ni kile kile, ila wamarekani hawajabadili maneno km nyie mnavyobadili neno eti swara!! Ndo upuuzi gani huu.Kiswahili chetu sio lazima kifanane ni kiswahili chenu mbaya. Huku Kenya mnyama huyo anaitwa Swara. End of story. Full stop.
komora096 wachana na hawa wajinga. Unapoteza muda wako bure. Hata kiingereza cha marekani hakifanani na cha Uingereza. Hatutalazimishwa kutumia kiswahili chao kibovu. Sisi tuna kiswahili chetu.
Nani huyo[emoji1]Huyo ni yule propagandists uchwara anayekesha jamiiforums kuichafua Tanzania na kueneza uwongo kuhusu Tanzania.
Jana amenasa kwenye mtego nilioweka [emoji23][emoji23][emoji23]
Leo tu nimetoka kukuwaza umepotelea wapi [emoji23][emoji23][emoji23]Nani huyo[emoji1]
[emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huwa naangalia hii picha ya Nyumbu na kujiuliza maswali sana kama iko na wiper au la. Look at that windscreen! View attachment 1826278
CompareView attachment 1826277
Kule PM wametengeneza kama ki-private group [emoji23][emoji23][emoji23]Nadhani hizi account za wa Kenya ni mtu mmoja. Zikiondoka zinaodoka zote kwa wakati mmoja.
Kwahiyo akiwa humu anajifanya mara komora mara mk mara coco yn ana kazi kweli kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]43.65.......
74.1.136......
225.254.173.....
Au tumsitiri tu [emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1826594
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huyu ndio HB wao [emoji3]
Hiyo partition kwenye windscreen inaserve purpose gani?Hizi gani ni za matumizi tofauti
Nani huyo[emoji1]
Karudi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Leo tu nimetoka kukuwaza umepotelea wapi [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo anatumia ID moja siku hizi.Kwahiyo akiwa humu anajifanya mara komora mara mk mara coco yn ana kazi kweli kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]