Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Niko hapa nasikiliza ngoma ya Mory Kante. YEKE YEKEE

Kilio kinanukiaa eeh kwa majirani mchina anachukua Mombasa...

Hapa watoto wa mjini wanasema wanaanza kutengenezwa na kufanyiwa masaji ili jambo likitokea wasife kwa mshituko

Wapi Tony254 MK254 Nicxie

Hapa ndio naelewa Ile spidi ya kukimbiza gotwald na crane mbovu kutoka msa ilikuwa ni kuondoka na vichache angalau mbakie na mwalo wenu wa lamu. Polenii

Bro Geza Ulole hii naona ina qualify kabisa kuanzishia uzi wake.

 
 
Wacha usenge hakuna kitu kinachoitwa swara kwenye kamusi ya kiswahili kutoka Bakita.
Kiswahili chetu sio lazima kifanane ni kiswahili chenu mbaya. Huku Kenya mnyama huyo anaitwa Swara. End of story. Full stop.
komora096 wachana na hawa wajinga. Unapoteza muda wako bure. Hata kiingereza cha marekani hakifanani na cha Uingereza. Hatutalazimishwa kutumia kiswahili chao kibovu. Sisi tuna kiswahili chetu.
 
Sasa hii ndoto ndio unapost hapa? Ndoto ambayo haitawahi kutimia?
Mzee wa kuhesabu pesa za matajiri aka cashier aka Stivo Simple Boy.
Sisi ni matajiri tunataka tukupatie kazi uwe unahesabu pesa zetu. Tutakupa unga kilo mbili kila mwisho wa mwezi.
 
Kiswahili chetu sio lazima kifanane ni kiswahili chenu mbaya. Huku Kenya mnyama huyo anaitwa Swara. End of story. Full stop.
komora096 wachana na hawa wajinga. Unapoteza muda wako bure. Hata kiingereza cha marekani hakifanani na cha Uingereza. Hatutalazimishwa kutumia kiswahili chao kibovu. Sisi tuna kiswahili chetu.
Tony254 aka Stivo Simple Boy umekula kweli!? Naona umehamia kwenye kiswahili.
 
Hauwezi kushinda hii mada sababu iko juu ya uwezo wako wakufikiria, teremsha chupi nikuchome 👇 👇 👇 🤣 🤣 💉 💉 💉 View attachment 1825967
Hebu angalia ulivokua mwehu wa level yakipekee 🤣🤣🤣👇👇👇 tumia macho tu wala usitumie nguvu hapo ground iko wapi alaf tazama na hii ground iko wapi

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
DB3086F3-F20B-4876-B1A9-0DDF1C67E0BD.jpeg
 
Back
Top Bottom