Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Anabana matumizi wapi, ilkuwa chenga kwa raia wa bongo. Expenses zake alizotumia kwa msafara wa magari ndani ya nchi, akiongozana na officials kibao nyuma ilikuwa kubwa sana. Hebu waulize wanajua kinagaubaga swala hilo. 😂
Ipi hio hebu itaje 😁😁😁 wakat hakusafiri kwenda nje ya africa ni expense gani hio wakat mlevi wenu anatoka kenya kwenda ufaransa kuomba mkopo wa km 5 railway
 
Opposition sio, kawaida wanakuaga na ukweli kwenye vitu wanavyosema. Hiyo inaonekana tu kwenye serikali nyingi duniani. Opposition wapo pale kuhakikisha kila jambo liko pahala yake! (in Somalian accent) 🤣🤣 🤣 🤣
Siku utapata deni limefila 71 nitag mm nifunge acc 😄😄😄 alaf cha ajabu budget ishasomwa bungeni sijui munahangaika na nn
Opposition kina kigogo diamond akimsifia magufuli tayar sio mtu wao
 
Opposition sio, kawaida wanakuaga na ukweli kwenye vitu wanavyosema. Hiyo inaonekana tu kwenye serikali nyingi duniani. Opposition wapo pale kuhakikisha kila jambo liko pahala yake! (in Somalian accent) 🤣🤣 🤣 🤣
🤣🤣🤣👇👇👇👇Mm sitaki uhangaike bure

 
Ipi hio hebu itaje 😁😁😁 wakat hakusafiri kwenda nje ya africa ni expense gani hio wakat mlevi wenu anatoka kenya kwenda ufaransa kuomba mkopo wa km 5 railway
Road trips ndani ya TZ..
Juzi kazi mmekuwa mkimsema vibaya kuhusu hilo, njoo kule kwa uzi wa siasa uone vituko vyenyu. Wacha kujiliwaza hapa, na vipicha picha, kuja kule ujue kibaya na kizuri kinachowapata ndugu zako! Vitu kwa ground sio JF! 🤣 🤣 🤣
 
Road trips ndani ya TZ..
Juzi kazi mmekuwa mkimsema vibaya kuhusu hilo, njoo kule kwa uzi wa siasa uone vituko vyenyu. Wacha kujiliwaza hapa, na vipicha picha, kuja kule ujue kibaya na kizuri kinachowapata ndugu zako! Vitu kwa ground sio JF! 🤣 🤣 🤣
Road trips ni lazma kwasababu anakagua miradi ya nchi na alisema hawezi kwenda nje wakat ndani kuna safari ya maendeleo 😃😃 na alisema watakaonda nje ni wasaidizi wake mbona hilo liko simple

tatizo lenu munamchukia bure wakat hawahusu kabisa 😂😂😂😂
 
U
Kwani uchaguzi umekaribia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uchaguzi tayari umeiva
656AC669-4CEE-4827-9FAA-B05294187C96.jpeg
F7F26321-A4B6-4561-8A92-79D1468F7AE9.jpeg
 
Makufuli Pombe died at the Right Time,if not Tanzania could have headed The Venezuela way,Everything in TZ was breaking down and with down I mean completely Failed Country,Ombeni Mungu Suluhu alikuja kuwaokolea,eti Donor Kantreeeeeh 😆🤣🤣🤣🤣
Tumeibiwa sana ndugu zangu,hii nchi ni tajiri 😛 😛 😛 😛
 
Kabisa,alafu sababu ya kutoajiri walimu ni ipi? Ukifuatilia hakuna
My opinion, Magufuli regime ili prioritize ujenzi kwa kunyonga sector mingi sana, Uchumi wa Tz ni hafifu sana kufanya miradi bila kukopa, vyanzo vya kutega uchumi haviwezi tosheleza mahitaji ya budget, same as Kenya to some extent, itabidi unyime sector muhimu kadhaa fedha, ama ukope kimya kimya., otherwise education must be a priority.
 
Back
Top Bottom