Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,539
- 12,943
Hebu ifafanue vizuri bhana... 😂 😂 😂 😂Ndio ni scania wanatumia engine so?🤣🤣
Hebu ifafanue vizuri bhana... 😂 😂 😂 😂Ndio ni scania wanatumia engine so?🤣🤣
Nilikwambiaga nyani haoni nini!... Wao hata wanasiasa wanawachapa kisawasawa, na sio tafadhali. Uliona ile video, mkuu hawa wajomba wanaonewa na serikali, itabidi tuwakomboe! 🤣 🤣 🤣 🤣Umesahau kule mbeya vile mchina alipiga kijiji kizima kung- fu, yani mshahara ni teke la kung- fu 😂 😂 😂 👇 👇
Raia wa China watimuliwa kwa kuwapiga makonde Watanzania
Raia wa China watimuliwa kwa kuwapiga makonde Watanzania
SERIKALI imewatimua nchini raia wawili wa China kwa kosa la kuwatwanga makonde na kuwanyanyasa Watanzania walioajiriwa katika mradi wa ujenzi wa barabara ya Chunya Makongorosi mkoani Mbeya, inayojengwa kwa kiwango cha lami.www.ippmedia.com
Mumeo mwendazake asingeweza kufanay haya mambo,miaka 3 iyayo uchumi uta rebound mambo yatachangamka tena baada ya kuondoa yule hayawanikitu kinarudi
View attachment 1813881
Mkuu ukipita kule site yao hebu wasilisha hoja kabisa pale kwa comments section yao, hata mm ntabwaga wazo hilo pale. Atleast wapate kujua. 😂Ningewashauri mobius waanze kutengeza military vehicles.View attachment 1814001View attachment 1814002
1986 Dar
Apartments within a city, not City within a city my friend!kitu kinarudi
View attachment 1813881
Dar coach ni body builder na wanatumia nembo ya scania 🤣🤣👇👇👇Hebu ifafanue vizuri bhana... 😂 😂 😂 😂
🤣🤣🤣🤣 na hii ilikua ahadi ya nani ya mlevi au 👇👇👇👇👇 hvi mlikosea nn Mungu nyinyiTumeridhika na zenye ziko kwa sahi.
View attachment 1813997
View attachment 1813998
View attachment 1813999
Huyo mchina alipigwa kipigo cha mbwa na hio video nimeiona😄😄😄Nipe maoni yako kuhusu hili jambo 👇 👇 👇 😁 Raia wa China watimuliwa kwa kuwapiga makonde Watanzania
Sababu wanatumia (chassis) engine zao, sio...Dar coach ni body builder na wanatumia nembo ya scania 🤣🤣👇👇👇View attachment 1814011
Na mbona miradi yake haisimami sasa ndio inazidi kusonga mbele ?? Chuki haikupi kula hio sahauMumeo mwendazake asingeweza kufanay haya mambo,miaka 3 iyayo uchumi uta rebound mambo yatachangamka tena baada ya kuondoa yule hayawani
Ndio kuna swali lingine 🤣🤣🤣Sababu wanatumia (chassis) engine zao, sio...
Kwa hivyo ameunda body tu? 😂Ndio kuna swali lingine 🤣🤣🤣
Huwezi tumia nembo ya mtu km hutumii engine na chasis zao
Huyo jamaa anafikiria hyo nembo ya scania waliamka na kiandika tu alivyokua mwehuKwa hivyo ameunda body tu?![]()
Ndio nataka anieleze, huyo jamaa kaunda body? 😂Huyo jamaa anafikiria hyo nembo ya scania waliamka na kiandika tu alivyokua mwehu
Ulitaka probox isiuzwe,ama hizo aina zingine pia? wewe kwani ni nani hapa KE??? 😂 Huna say kwa pesa ya mtu binafsi..Nioneshe mm mauzo ya mobius ukipata nitag mm 😁😁😁 au haina statement ya mauzo na profit
mkenya na probox ni kama kende na chupi😅😅
Kaa mkao wa kunyaa 👇 👇 🤣 🤣Na mbona miradi yake haisimami sasa ndio inazidi kusonga mbele ?? Chuki haikupi kula hio sahau